Kongole kwa picha,nawaona kwa mbali ninawowakumbuka Martin Kikwa,Abdallah Mwinyimkuu, Mohamed Bakari Tall, Mohamed Kajole,Willy Mwajibe,ila vijana wa zamani, Nywele zilikua nyingi mno,ila sasa hv vipara vimetawala doo!!Mabugaloo na Raizon ngazi mbili mpaka tatu
Sent from my Infinix X657 using...