Recent content by Rural Swagga

  1. Rural Swagga

    Vijana tunafeli wapi?Kwani lazima kubet?

    Saaafi hela ya mpaka mwaka mpya 3.5 imelipa
  2. Rural Swagga

    Vijana tunafeli wapi?Kwani lazima kubet?

    Labda uingie wewe uwanjani 😂😂..Inatoka kaka hata 2.5 wewe weka tu
  3. Rural Swagga

    Mtu anayetoa milion 10 kununua bajaji Ili apewe 20k Kwa siku ni kufanya biashara kichaa

    Mbona Bajaj zimejaa tele barabarani,au ni za majini😂
  4. Rural Swagga

    Hiki kidonda nateseka sana nikienda haja, mwenye kujua dawa ya kuharisha

    Dawa hii hapa ,Unafahamu majani flani hivi yanaotaga pembezoni mwa bahari kama ukoka hivi sema Yana majani mapana...Yachukue yaponde ponde,then binuka jikamulie maji yake matone kadhaa kwenye tuzi,kesho asubuhi ukiamka ni mzima
  5. Rural Swagga

    Lord Eyez akamatwa kwa kuiba spea za gari la Ommy Dimpoz

    Miaka 12 iliyopita khaaaa
  6. Rural Swagga

    Wamiliki wa mabus tunaomba mje route ya Songea

    Songea to Njombe ni balaaa Kuna likumburu Kitonga ikasome,acha kabisa mdau
  7. Rural Swagga

    TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

    Shoga yule,wanamkula vizuri tu,sijui kapatwa na Nini,Kuna Saloon Moja iko mwenge hapo opposite na Efatha alikua ananyoa hapo kitambo sijamsikia
  8. Rural Swagga

    Ni kipaji udambwi upi wamefanya Gaucho, Zidane na Okocha ambacho Neymar Jr hajakifanya katika mpira?

    Kuna jamaa yangu mmoja anae houseboy wa mwaka 2006(kazaliwa)mwenyeji wa Iringa,basi ndio kwanza kamiliki smart phone,basi kila kitu kwake ni kipya kuanzia nyimbo mpaka wachezaji,Unaweza kukutana nae anakuuliza bro unamjua Pdidy wewe
  9. Rural Swagga

    Kwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3?

    Atupe hiyo laki tatu,ni mtaji mkubwa kule kwa kanji
  10. Rural Swagga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mama najiskia aibu Mimi mwanao😅😅
  11. Rural Swagga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Eeeh Najitahidi sana jamani💩💩
Back
Top Bottom