Dawa hii hapa ,Unafahamu majani flani hivi yanaotaga pembezoni mwa bahari kama ukoka hivi sema Yana majani mapana...Yachukue yaponde ponde,then binuka jikamulie maji yake matone kadhaa kwenye tuzi,kesho asubuhi ukiamka ni mzima
Kuna jamaa yangu mmoja anae houseboy wa mwaka 2006(kazaliwa)mwenyeji wa Iringa,basi ndio kwanza kamiliki smart phone,basi kila kitu kwake ni kipya kuanzia nyimbo mpaka wachezaji,Unaweza kukutana nae anakuuliza bro unamjua Pdidy wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.