Recent content by Ruppy karenston

  1. R

    Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

    Hawa ndo tunawaita wawakilishi wetu na watungaji wa sheria khaa!
  2. R

    Kifo cha Dr. Mvungi: Madaktari wa Muhimbili na Afrika Kusini watofautiana

    Hapo mkweli anajulikana hakuna haja ya kumtafuta kwa tochi. R.I.P Dr Mvungi.
  3. R

    Kapuya Matatani: Adhibitiwa na kitoto kinachodai alikibaka, akakiambukiza virusi

    Huu ni unyama sana.Anapaswa kujiuzu mara moja.
  4. R

    Kapuya Matatani: Adhibitiwa na kitoto kinachodai alikibaka, akakiambukiza virusi

    Tatizo la viongozi wetu hawa ni kwamba akili za juu zimehamia chini.
  5. R

    Rais Kikwete arudisha zawadi ya dhahabu

    Unafiki ni dhambi inayotafuna nchi yetu.
  6. R

    Kumbe Mshahara wa Rais Wa Bongo Million 32 Ni Peanuts Kulinganisha na Wengine Africa na Mambelez!

    Uchumi wao ukoje ukilinganisha na wa kwetu? What is their GDP per capital in a year?? There are alot of factors to consider and nat just the figure in question. I urge you think outside the box.
  7. R

    Ndugu wa 'mume' wa Ufoo waja na mapya

    na inafanyika makusudi kupotosha ukweli.
  8. R

    Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

    Aiseee Mungu ampe nafuu na amrudishe katika hali aliyokuwa nayo. Pole sana familia ya Ufoo
  9. R

    Ivona Kamuntu (Startv): CHADEMA Wameshajitoa Katika Muungano...!

    hahaha jf is never boring nilikuwa na stress zishaisha.
  10. R

    Magazeti ya Mtanzania na Mwananchi yafungiwa na Serikali!

    Hahaha kweli sikio la kufa halisikii dawa na asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu. Nimeamini mpiga ngumi ukutani huumiza mkonowe na kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
  11. R

    Yaliyojiri: Kongamano la amani ya Tanzania - Julai 28, 2013

    sidhani kama anaelewa anachokiongea
  12. R

    Yaliyojiri: Kongamano la amani ya Tanzania - Julai 28, 2013

    Aisee inasikitisha sana,kumbe jeshi linafanya unyama wote huu? Amani haiwezi kupatikana kwa namna hii.
Back
Top Bottom