Nimeitwa interview apex consultant natasa ya public relation ila wanataka nitume pesa elfu 22 ya registration na tunatuma kwa mpesa au tigo pesa.
kuna mtu anawafahamu aniondoe hofu au kunaaliyeitwa anijuze mana nawaza usawa huu mgumu sana afu nitapeliwe msaada tafadhali
Nawasalimu wote humu ndani!
Mimi ni mgeni naomba mnipokee, japo mara nyingi huwa napita kusoma.
Naomba msaada kwa wanaofahamu jinsi ya kujiunga na Post Graduate ya Education , Open University, pamoja na gharama zao kwa ujumla!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.