Recent content by runyaga

  1. runyaga

    JamiiForums Tanzania Mwanangu amepata kigugumizi cha ghafla, msaada kama naweza kupata tiba

    Asante sana dr, Kuhusu kwenye familia hatuna changamoto hiyo ya kigugumizi na pia kwa watu wa karibu pia hakuna, Kuhusu kuanguka sidhani kama alishawahi kuanguka mpaka kutisha kiasi icho. Hapa itabidi nimpekele hospitali kwa uchunguzi zaidi. Nashukuru sana kwa muitikio wako
  2. runyaga

    JamiiForums Tanzania Mwanangu amepata kigugumizi cha ghafla, msaada kama naweza kupata tiba

    Mtoto wangu ni mdogo ana miaka miwili na nusu. Ndiyo alikuwa ameanza kuongea ila alikuwa anaongea kwa kutoa neno vizuri kabisa, ila sasa kama wiki hivi naona amekuwa na kigugumizi kwenye kuongea kwake. Sasa nilikuwa naulizia kama kuna msaada anaweza kupata.
  3. runyaga

    JamiiForums Tanzania Biashara ya sembe Dar es Salaam ipoje?

    Center ya sembe hapa Dar ni Manzese, kwahiyo kafanye research pale. Pia ukiweza kuagiza mahindi mwenyewe mkoani ndo utaifurahia hii biashara
  4. runyaga

    JamiiForums Tanzania Huyu “Arafa Kikwete” ni nani haswa?

    kwahiyo mme wake akitumbuliwa na uanachama unakoma
  5. runyaga

    JamiiForums Tanzania FT: AS Real Bamako 1-1 Young Africans | CAF Confederation Cup | Stade Modibo Keita | 26.02.2023

    hamna channel ya dstv inaonesha hii mechi?
  6. runyaga

    JamiiForums Tanzania Wadau wapinga mfumo wa kofia mbili CCM, wahoji nani ataisimamia Serikali

    mi naona kama haja ya kutolea ufafanuzi anaitwa kwenye kamati tu, hiyo ndo ingekuwa njia nzuri ya kuwawajibisha zaidi kuliko kujiwajibisha wenyewe ndani ya kamati kuu
  7. runyaga

    JamiiForums Tanzania Pensheni na kikokotoo: Usichokijua kuhusu uzuri wa kikokotoo, kwa mafanikio na bata la uzeeni

    vp mstaafu kama ana biashara yake ashaianzisha tayari, anasubiria hiyo pension iongeze mtaji biashara ikue zaidi awaachie urithi mzuri zaidi.
  8. runyaga

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa SUMA JKT mmekuwa Kero sana au ni stress za kukatishwa ndoto za kuwa JWTZ

    Ndo mfanye kazi za ulinzi sasa na sio uaskari
  9. runyaga

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa SUMA JKT mmekuwa Kero sana au ni stress za kukatishwa ndoto za kuwa JWTZ

    mnachoshindwa kujua, nyie ni walinzi sio askari.
  10. runyaga

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

    Bold kwanza neno nyumba yake. Nakupa true story ya mtu aliyekuwa na akili kama zako maana naona ndo unakoelekea. Jamaa baada ya mama yao kufariki na kwaacha watoto watatu wakiwa wadogo, baba yao aliamua kuoa mke mwingine kwenye nyumba ile ile ya mke mkubwa. Baada ya miaka kadhaa ya ndoa ile...
  11. runyaga

    JamiiForums Tanzania TUJADILI: Wizara ya Wanawake, Jinsia na Makundi Maalumu. Makundi Maalumu ni yapi hayo?

    una point mkuu kwa sababu wizara ya ajira, kazi, vijana na wenyeulemavu tayari lshalitaja hilo kundi la walemavu. Huku kwenye hii wizara ni vyema wakayaweka bayana hayo makundi maalumu.
  12. runyaga

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mi nataka wafanyabiashara wanaoleta huku huku kabisa ili kupunguza gharama za madalali
  13. runyaga

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mi natafuta wauzaji wa mahindi wanaotoa mkoani kuleta Dar
  14. runyaga

    JamiiForums Tanzania TRA kwanini Wamehamishia akaunti ya malipo KCB, siyo tena NMB? Ni ufisadi baada ya Magufuli?

    Sio kwamba wewe ndo hujaelewa vizuri, hapo kwenye viambatanisho vyote viwili bank ya tra ni moja; bot. Hizo kcb na nmb ni bank za mlipaji tu.
  15. runyaga

    JamiiForums Tanzania Jokate nae yumo?

    Hivi we mshana kweli si inawezekana ndo kigogo, ila unawaloga polisi mpaka tiss wanashindwa kukukamata.
Back
Top Bottom