Brazil nauli zimepanda wananch wakaandamana wazir ajiuzulu .akatii ufarance ukate unipanda kwa kama tsh 100.wakafanya revolution.watanzania kila siku wanauwawa .nauli na maisha yanapanda kila siku bila kuwajibishwa kwa wa2. Watanzania 2amike ucngzine kabla rasilimali zetu hazjaisha. Na nch...
Da kwel mapinduz ya kwel yanaitajika haya mabom ya machoz nawasis nayo huenda yamewekwa sum ya ku2maliza taratiku.one day u will get our freedom. Viva TANGANYIKA
Nataman na mim ningepiga kura ila ubov wa viongoz we2 wa kuandikisha mara moja kwa miaka mitano ndo shida.cjui mbowe nae alipotelea wapi baada ya kuuliza swali kwa wazir mkuu.kanyamaza mpaka leo hi.cjui nan atatutetea tena kama ndo ivo.kila jambo na wakati labla 2tasikia wakati mbunge akifa au...
mrema afanya mdahalo live na wananch huku akiwaeleza aliyofanya mpaka sasa ikiwemo barabara ya kawawa to marangu kilo mita 15 zimetimia. Pia soko la kimataifa njia panda.pia maji kirua kusini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.