Recent content by Rummashi

  1. R

    Hivi ni kwanini Damu haina rangi ya blue..?!

    Sasa niambie ulitaka always ziwe na rangi gani?
  2. R

    Kwanini mitungi ya gesi isifanyiwe usafi kabla ya kujazwa tena?

    Asante kwa kunielewa sikumaanisha uchafu. nasema kutu au kuchubuka kwa tangi
  3. R

    Kwanini mitungi ya gesi isifanyiwe usafi kabla ya kujazwa tena?

    pididy kajiko ndio kwanza nimekaweka tiles
  4. R

    Kwanini mitungi ya gesi isifanyiwe usafi kabla ya kujazwa tena?

    OK nilimaanisha uchafu ni kama kutu au kuchakaa kwa rangi
  5. R

    Kwanini mitungi ya gesi isifanyiwe usafi kabla ya kujazwa tena?

    swali la msingi mtungi ni Mali ya nani? je naweza badilisha aina ya rangi?
  6. R

    Kwanini mitungi ya gesi isifanyiwe usafi kabla ya kujazwa tena?

    twendeni pamoja. nimenunua mtungi ulio na gesi kwa 180000 ikiwa na rangi safi sasa umeisha naenda tena kununua napewa lenye kutu kweli? mnasema chagua rangi uipendayo inawezekana? eti nisafishe kabla sijaupeleka kutu nasafisha na nini? naomba jibu.
  7. R

    Kwanini mitungi ya gesi isifanyiwe usafi kabla ya kujazwa tena?

    Heshima kwenu. jamani hii ni kero unaenda na mtungi ulioisha uko safi.Hauna michubuko sasa ngoja wanaokupa yaaani kutu tupu.je kwa makampuni husika hawalioni hili? na je kunachombo kinachosimamia hili? nisaidiwe na anaejua karibuni.
  8. R

    Washa Na Kuzima taa au mshumaa kwa nguvu ya fikra

    sasa mbona simu yangu ndio inazima na sio taa?
  9. R

    Kukithiri kuuzwa vyakula yaliyolala(Viporo) katika bar na hoteli za Dar

    wali JAA mchuzi LEE =wali wa jana mchuzi wa leo
  10. R

    Haya matunda yanaitwaje kwa lugha ya kwenu?

    sio tunda la Eden kweli?
  11. R

    Msaada

    Heshima kwenu, naomba msaada wa kufix laptop yangu Toshiba ukiiwasha inadisplay one of ur disk needs consistancy na ukiendelea inasema chkdsk verrifying msaada please
  12. R

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

    star tv live muda wa sala
  13. R

    CAF Champions League

    mambo mabaya yanga tumetoka kwa penati dida kawaokoa ila ndio hivo tena so sad
Back
Top Bottom