ukikaa ndani ya nyumba ya vioo usipende michezo ya mawe. Jide aliyataka mwenyewa she is so pathetic and desperate anataka huruma za watanzania sasa hao aliowachokoza they seem to be one step ahead always!!
Mambo mengi kama si yote yaliyoandikwa ni ya kweli. Hao vijana wanaotajwa wanasomea masters akina Ryakitimbo na Kavishe wote hao wanapewa hadhi ya u senior lecturer wakati hawastahili. Mimi nilihitimu hapo SJUT kabla mambo hayajabadilika wakati wa enzi za marehemu Prof. Mwaga, Prof Meshack na...
Hakuna jambo la kushangaza hapo inawezekana kweli ulirekodiwa au siyo kweli coz kila siku tunaona watu wanapigwa picha bila kujijua hivyo pia suala la kurekodiwa pia linawezekana ila ww kwa sababu ni muhusika mkuu kama ulivoiona hiyo clip lazima utakuwa umejua imerekodiwa kwenyye gest ipi...
Ni vigumu sana kuamini japo simfahamu lakini imeniuma hadi nahisi machozi yananileng nimepita pale Bamaga mida ya saa sita hivi kuelekea Mwenge na nilivorudi nilimkuta bado anaongoza tena alininyooshea mikono kwa bidii niongeze spidi ya gari na nikapita kuelekea Kinondoni.Hakujua au sie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.