Recent content by ruhosho

  1. R

    JamiiForums Tanzania Mataifa 4 kukutana punde kikao cha faragha

    Vp ukrein sio mzungu au hapo hawajasalitiana vp kutaifisha mali za warusi ulaya sio kusalitiana
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Eng. Hersi hatakiwi Yanga kwa Sasa? Jibu Hili Hapa

    huwezi kua huna ela ukaenda kuishitaki kamati ya gsm ukashinda uyu ana ela wendo ukoo wenu wote hauna
  3. R

    JamiiForums Tanzania Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

    laki moja na elfu kumi namoja na mia sita na moja na senti ishilini na mbili mbona ela ndogo sana
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mpaka leo sijaelewa ziwa victoria na msaada wake kwenye huduma za maji kanda ya ziwa

    mwanza mkolani kuna sehemu maji nishida wakati ziwa limejaa
  5. R

    JamiiForums Tanzania Ni hatari kuruhusu nchi ya Rwanda kumiliki kinu cha Nyuklia

    Mtoa mada umetumwa na mabeberu kwani kuna aliezuiwa kujenga kinu cha nuke au ndo nyie mnasema bomba la gesi linahatarisha viumbe hai lisijengwe
  6. R

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

    Sijda sio kupaka majivu ndo maana nawashangaa wanaojiita wasomi
  7. R

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

    Ahahahaaaa inauma sana kuona anaejiita msomi amevaa lisanamu shingoni au anaenda kulipigia magoti eti huyu ni mungu hapo unabaki unajiuliza alisoma ili kuondoa ujinga au kuongeza ujing
  8. R

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

    Inauma kusifia mme mwenzio nakutukana wengine haliyakua nikiraza
  9. R

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

    Kitendo cha kuhifadhi quran yote kichwani hata padre hajawahi gusa hapa ila uislam unasema ficheni nema zenu maana kuna watu wanakijicho
  10. R

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

    Sawa boss ww huna baya
  11. R

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

    Kumbe na ww unachuki na uislam sawa wanajitahidi kusoma lakini hawana raha na maisha wala elimu zao Maana ile habari ya mwanaume kamili haiwahusu hata akifa hawezi acha nembo yake maana phd yake haibaki lakini angeacha utumwa wa kizungu angeacha familia kwahiyo ukiwa padri ni hasara kwa familia...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Bakhresa, Mo Dewji na GSM Wekezeni kwenye Elimu haswa kwenye Dini zenu

    Mtanzania mwenye elimu anaishi wapi anafanya nn elimu yake inanufaishaje taifa
  13. R

    JamiiForums Tanzania Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    Umejitahidi kuandika ila ungeufatilia uislam vzr bila mihemko ungekua muislam maana kuhusu huduma hizo za bule kwa watu wenye uwezo wa chini kuna zaka kuna waqfu shule zipo hospital zipo nyumba za kuishi zipo ili mtoto wa mlala hoi azipate bule naye afurahie dunia ila kuna watu wanatumika...
Back
Top Bottom