Ebu fikiria pia viungo kwenye timu ya Spain
1. Zubemendi, Xabi, Rodri, Pedri
Pia, fikiria safu ya Ushambuliaji ya Argentina.
Football bila ujanja ujanja hutoboi
Unategemea mtu kama Wasira au Migiro au Samia aone umuhimu wa hicho unachosema sijui katiba. Wao wakishapotoshwa na wanausalama kuwa wata-take cover wasiwe na wasiwasi then
hawawezi kujiongeza.
Hopeless sana.
Wewe ukiwa kijana unaweza kuamini kuwa Marry Chatanda ni miongoni mwa washauri wa Rais wa nchi? Unataka Vijana wamdai huyo Rais kitu gani?
Yaani umeshindwa kuelewa kwanini vijana wanamtaka master wa Mapenzi.
Ebu sema kuna kosa amelitenda? Je umesoma rupoti au umesomewa tu? Kama umesomewa unayo uhakika kuwa kilichosomewa ndicho kilichoandikwa kwenye ripoti?
Kama ripoti inayo nia nzuri kwanini inawekwa kuwa mali ya mtu na siyo mali ya nchi?
Kuna wakati tusipende kutetea vitu visivyo na uhalisia...
Hata wakiwafunga wasiyohusika bado wasiyopenda dhuluma wapo wengi wataendeleza pale wenzio walipoishia.
Suluhisho ni kuweka vitu bayana ili ukweli upatikane tofauti na hapo wakubali kulisambaratisha nchi kama Omar Al Bashir alivyoisambaratisha Sudan baada ya kukataa ushauri kutoka kwa wazalendo...
Unataka kusema kuwa Kenya wananchi hawana Ardhi? Yawezekana hujawai kufika Kenya.
USA kutafuta mafuta na gesi nchi ya nchi siyo kuwa hawana au hawachimbi bali ni kuwa wanastrategic ya muda mrefu.
Wafanyabiashara wa Kenya kuonekana Morogoro na Mbozi na sehemu zingine wakisaka chakula haimaanishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.