Kwanza Wakili inaonekana hafuatilii shauri mahakamani kwa umakini. Tundu Lisu baada ya kuwataja mashahidi wake, Upande wa Serikali waliweka pingamizi kwa mashahidi wanne tu (Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na DGIS) hao wengine Bw. Katuga alisema hawana shina nao.
Hivyo hawawezi kuweka...
Yaani kama ameingiziwa pesa leo na mtu asiyemjua, pia yeye amesema kwasababu ya kuoneshwa utajuaje kama huyo Salha sijui ameingiza pesa kwa niaba ya mtu mwingine? Hoja ya Wakili imekaa tenge sana.
Kipi kitazuia yote hayo yasifanyike dhidi ya CHADEMA? Au mambo gani CHADEMA wayafanye ili yote hayo mawili yasiwakumbe? Na hadi sasa kipi kinasubiriwa ili yatokee.
Lissu alishasema hana cha kupoteza hivyo CDF na IGP watakutana na maswali ya kuonesha umma uwezo wao kama bado wanastahili kuwa sehemu ya viongozi wa UMMA.
Magenerali wengine watakaa kwenye social media wakifuatilia majibu ya 4 star wao anavyobabaika kuelezea UMMA Jeshi linavyotekeleza majukumu...
Mkuu National Security Act or Tanz LII inaonesha vitu kama Espinange ans subotage, communication of certain information, protection of classified information, Bails, terrorism etc. Ila hakuna sehemu inayompa wakuu wa vyombo vya usalama kama IGP au CDF kutangaza hali ya hatari.
Mimi siyo msomi...
Article 32 ya Katiba yetu inampa Rais mamlaka hayo siyo CDF au IGP. Kulinda Katiba hata mimi na wewe tuna wajibu huo lakini hatuna wajibu wa kutangaza hali ya hatari kisa tu tuna wajibu ya kulinda Katiba.
Sema kifungu gani kwenye katiba inampa IGP au CDF kutangaza hali ya hatari.
Lisu hana shida ya kushinda kesi bali kuwaonesha hao walinzi wa wananchi mambo yao ya ovyo kwa wananchi.
Kesi hata akishida kama nea ni kumnyonga watamnyonga tu...kwani Lissu na Nchimbi nani alikuwa analitwa na mfumo?
Hata mimi ningekuwa Lissu sina cha kupoteza....its up to them.
Wlishaambiwa...
Argument yako ni kama ya mtoto mdogo chini ya miaka 18. Yaani CDF aulizwe swali kuwa alitoa wapi mamlaka ya kutangaza hali ya hatari then na wewe unategemea atajibu kuwa hajui? Maswali yanakuwa yanaandaliwa kwa njia ambayo kila jibu linaleta swali lingine.
Mwisho kabisa itaonekana ushahidi wako...
Bahati nzuri anayetengeneza foundation ya maswali yanayoweza kuulizwa na Mawakili wa Serikali ni muongoza Shahidi ambaye ni Lisu.
Lisu atatengeneza mahojiano yanayoegemea upande wa kushambuliwa kwake na vi9ngozi wa CHADEMA kushikililiwa then Mawakili wa Serikali wakaona hawana nia ya kuendelea...
Mkuu sheria inataratinu zake..Lissu anaweza kuwaoji nje kabisa ya kesi inayomkabili kwa nia ya kuwaonesha wananchi waone namna viongozi wao wanavyotekeleza majukumu yao. Mfano Alaulizwa IGP aseme ni sheria gani inamruhusu mtu kukamatwa alafu akazungushwa siku nzima then akarudishwa kwake?
CDF...
Baada ya AIBU watakayopata hapo mahakamani then itatungwa tena Sheria ya kuwalinda hao big three.
Sipati picha atakapoulizwa Bwana Wambura kuwa alitumia PGO namba ngapi kuwakamata waliopanga kufanya uhalifu baada ya kuamasika kwa hotuba ya Lisu then akawaachia baadae kweli uhalifu ukafanyika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.