If you don't want change, change will change you.
Watake wasitake watabadilika tu, kwasasa nchi kama wananchi wake hawapo pamoja hakuwezi kufanikusha chochote.
Rejea nchi ambayo wananchi wake hawapo pamoja kama wanaweza kufanikisha chochote.
Ebu fikiria leo hii Tanzania iingie vitani na jirani...
Mkuu Kule Sudan na DRC Congo nako kuna watu wanakula goodtime kama kawaida regardless ya nchi zao kuwa na vurugu kila kukicha.
Allepo kule Syria nako kulikuwa vita japokuwa kuna wengine walikuwa wanakula rahaa.
Mleta mada ni mmoja wa watekaji na wafiraji ndiyo wanakula rahaa kwani kazi yake ni...
Siku ya upigaji kura DSO wa Biharamulo alitafuta sana picha ya wapiga kura waliojipanga kwenye foleni ya watu kuanzia watatu ili aweze kuituma kwenye taarifa yake akashindwa kuipata. Wilaya nzima ya Biharamulo ilikuwa ni balahaa kwelikweli hapakuwa na wapiga kura kabisa...
Pale Bunda ndiyo...
Sisi wengine hatujaingia kazini rasmi bado tunasoma mchezo tukiwa nje.
Mbinu zote zinazopangwa na System kwa faida ya kikundi na siyo faida ya nchi tunazisoma na kuendelea kuzifanyia tathmini na namna bora za kuzizuia na kuzigrounda kwa faida ya waTanzania.
Kwa taarifa tu 29 Octoba ilibaki...
Unaikumbuka Madrid wanachukua Eufa champions league na yule mchezaji wao Joselu kutokea bench? Baada ya msimu huo akakimbilia Uarabuni, mpira inahitaji ujanja ujanja.
Kwangu mimi Welback ni back up ya uhakika. Kuna position kama forward na backline hutakuwi kuwa na young players wote.
Muulize nani alikuwa analazimisha kile chumba cha Mwl ambacho huwa hakifunguliwi kifunguliwe? Aliacha kiasi gani pesa za wakandarasi; Popy yupo sahihi.
Punguzeni kugombanisha familia kisa madaraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.