Recent content by ruhi

  1. R

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI Mambo Makubwa 3 Yanaweza Kutokea iwapo hawa Vigogo kutoa Ushahidi Mahakamani

    Kwanza Wakili inaonekana hafuatilii shauri mahakamani kwa umakini. Tundu Lisu baada ya kuwataja mashahidi wake, Upande wa Serikali waliweka pingamizi kwa mashahidi wanne tu (Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na DGIS) hao wengine Bw. Katuga alisema hawana shina nao. Hivyo hawawezi kuweka...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Maridhiano kati ya Serikali vs CHADEMA: Uzuri na upogo wa maoni ya ndugu huyu kule X-Twitter. Soma, Kisha toa maoni yako

    Kwani CHADEMA ndiyo walikosewa? Tusiwe wanafiki wao waendelee na maridhiano kama walivyoendelea na uchaguzi. Simple like that.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Yaani kama ameingiziwa pesa leo na mtu asiyemjua, pia yeye amesema kwasababu ya kuoneshwa utajuaje kama huyo Salha sijui ameingiza pesa kwa niaba ya mtu mwingine? Hoja ya Wakili imekaa tenge sana.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Nimepewa Passport na Mkuu Tiss !

    Hiyo passport jinsi ilivyochukuliwa ndivyo inatakiwa kurudishwa. Kwani ilichukuliwaje?
  5. R

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    HAwawezi kuzui watu make mahakama ni ya Wazi pia Lissu hatokubali kuendelea na kesi...kazi kwao.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Msimamo wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu unavyoweza kuchochea mpasuko ndani ya chama

    Kipi kitazuia yote hayo yasifanyike dhidi ya CHADEMA? Au mambo gani CHADEMA wayafanye ili yote hayo mawili yasiwakumbe? Na hadi sasa kipi kinasubiriwa ili yatokee.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Lissu alishasema hana cha kupoteza hivyo CDF na IGP watakutana na maswali ya kuonesha umma uwezo wao kama bado wanastahili kuwa sehemu ya viongozi wa UMMA. Magenerali wengine watakaa kwenye social media wakifuatilia majibu ya 4 star wao anavyobabaika kuelezea UMMA Jeshi linavyotekeleza majukumu...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Mkuu National Security Act or Tanz LII inaonesha vitu kama Espinange ans subotage, communication of certain information, protection of classified information, Bails, terrorism etc. Ila hakuna sehemu inayompa wakuu wa vyombo vya usalama kama IGP au CDF kutangaza hali ya hatari. Mimi siyo msomi...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi

    Heche nae ameshahojiwa na Katuga tayari? Au wewe ni robot
  10. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Article 32 ya Katiba yetu inampa Rais mamlaka hayo siyo CDF au IGP. Kulinda Katiba hata mimi na wewe tuna wajibu huo lakini hatuna wajibu wa kutangaza hali ya hatari kisa tu tuna wajibu ya kulinda Katiba. Sema kifungu gani kwenye katiba inampa IGP au CDF kutangaza hali ya hatari.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Lisu hana shida ya kushinda kesi bali kuwaonesha hao walinzi wa wananchi mambo yao ya ovyo kwa wananchi. Kesi hata akishida kama nea ni kumnyonga watamnyonga tu...kwani Lissu na Nchimbi nani alikuwa analitwa na mfumo? Hata mimi ningekuwa Lissu sina cha kupoteza....its up to them. Wlishaambiwa...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Argument yako ni kama ya mtoto mdogo chini ya miaka 18. Yaani CDF aulizwe swali kuwa alitoa wapi mamlaka ya kutangaza hali ya hatari then na wewe unategemea atajibu kuwa hajui? Maswali yanakuwa yanaandaliwa kwa njia ambayo kila jibu linaleta swali lingine. Mwisho kabisa itaonekana ushahidi wako...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Bahati nzuri anayetengeneza foundation ya maswali yanayoweza kuulizwa na Mawakili wa Serikali ni muongoza Shahidi ambaye ni Lisu. Lisu atatengeneza mahojiano yanayoegemea upande wa kushambuliwa kwake na vi9ngozi wa CHADEMA kushikililiwa then Mawakili wa Serikali wakaona hawana nia ya kuendelea...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Mkuu sheria inataratinu zake..Lissu anaweza kuwaoji nje kabisa ya kesi inayomkabili kwa nia ya kuwaonesha wananchi waone namna viongozi wao wanavyotekeleza majukumu yao. Mfano Alaulizwa IGP aseme ni sheria gani inamruhusu mtu kukamatwa alafu akazungushwa siku nzima then akarudishwa kwake? CDF...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Baada ya AIBU watakayopata hapo mahakamani then itatungwa tena Sheria ya kuwalinda hao big three. Sipati picha atakapoulizwa Bwana Wambura kuwa alitumia PGO namba ngapi kuwakamata waliopanga kufanya uhalifu baada ya kuamasika kwa hotuba ya Lisu then akawaachia baadae kweli uhalifu ukafanyika na...
Back
Top Bottom