Recent content by ruhi

  1. R

    JamiiForums Tanzania Lucy Mayenga ni ushahidi wa nafasi za Ubunge kwa namna isiyo sahihi

    Wako hivyo wote
  2. R

    JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    Ebu fikiria pia viungo kwenye timu ya Spain 1. Zubemendi, Xabi, Rodri, Pedri Pia, fikiria safu ya Ushambuliaji ya Argentina. Football bila ujanja ujanja hutoboi
  3. R

    JamiiForums Tanzania ACT: JKT si chombo cha Muungano, si sawa kulazimisha Vijana wa Zanzibar wajiunge JKT, hiyo ni kupora mamlaka ya Zanizbar

    Mbona kuna watu kutoka Zanzibar tulipiga nao kozi ya JKT?
  4. R

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mambo ya Nje: Kuna upotoshaji mkubwa wa taarifa baada ya hotuba ya Bajeti 2026/2027

    Wameogopa hadi kutaja kilichopotoshwa. Sasa wasaidiweje? Hopeless kwelikweli
  5. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mchungaji Msigwa: Huwezi kutumia Risasi Kuonya Vijana

    Unategemea mtu kama Wasira au Migiro au Samia aone umuhimu wa hicho unachosema sijui katiba. Wao wakishapotoshwa na wanausalama kuwa wata-take cover wasiwe na wasiwasi then hawawezi kujiongeza. Hopeless sana.
  6. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mchungaji Msigwa: Huwezi kutumia Risasi Kuonya Vijana

    Viongozi wengi wa kiislam ni wanafiki kupindukia.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Mch. Msigwa na mithali ya "Hasira, hasara"

    Ebu soma UNESCO na WHO uniambie unakuwaje Kijana, unashangaa watu wanawaita akina Mwigulu and likes vijana. Kubali kuwa wewe ni Mzee
  8. R

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Mch. Msigwa na mithali ya "Hasira, hasara"

    Mkuu na wewe ni kijana?
  9. R

    JamiiForums Tanzania SONGEA: Watu ambao hawajatambulika wawashambulia kwa mapanga viongozi na wafuasi wa CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara

    Wameona hoja zinachoma sana, wao waingie kwenye mapanga.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Kwa nini vijana wanataka aletwe Tanzania Msanii Sharukhan

    Wewe ukiwa kijana unaweza kuamini kuwa Marry Chatanda ni miongoni mwa washauri wa Rais wa nchi? Unataka Vijana wamdai huyo Rais kitu gani? Yaani umeshindwa kuelewa kwanini vijana wanamtaka master wa Mapenzi.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mafwele soma historia ya Eugene De Kock, polisi katili wa enzi za ubaguzi Afrika kusini

    Kwahiyo Makonda nae ni muuaji? Hii nchi Rais anamteua hadi muuaji ila yeye umtaji kama muuaji?
  12. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hatimaye CHADEMA yaanza kuwapandisha Majukwaani Waathirika wa Mauaji ya Oktoba 29 !!.

    Ebu sema kuna kosa amelitenda? Je umesoma rupoti au umesomewa tu? Kama umesomewa unayo uhakika kuwa kilichosomewa ndicho kilichoandikwa kwenye ripoti? Kama ripoti inayo nia nzuri kwanini inawekwa kuwa mali ya mtu na siyo mali ya nchi? Kuna wakati tusipende kutetea vitu visivyo na uhalisia...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ndoto iliyowatesa wengi inaelekea kutimia

    Hata wakiwafunga wasiyohusika bado wasiyopenda dhuluma wapo wengi wataendeleza pale wenzio walipoishia. Suluhisho ni kuweka vitu bayana ili ukweli upatikane tofauti na hapo wakubali kulisambaratisha nchi kama Omar Al Bashir alivyoisambaratisha Sudan baada ya kukataa ushauri kutoka kwa wazalendo...
  14. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yapunguza bei ya mafuta baada ya kutokea maandamano

    Unataka kusema kuwa Kenya wananchi hawana Ardhi? Yawezekana hujawai kufika Kenya. USA kutafuta mafuta na gesi nchi ya nchi siyo kuwa hawana au hawachimbi bali ni kuwa wanastrategic ya muda mrefu. Wafanyabiashara wa Kenya kuonekana Morogoro na Mbozi na sehemu zingine wakisaka chakula haimaanishi...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Utashi wa kisiasa umetowekea wapi?

    Walafi na wajinga wachache
Back
Top Bottom