Kuna shida kwa viongozi wetu..Serikali inaifungia mtandao flani then inatumia VPN kutuma taarifa kupitia mtandao husika..inafikirisha sana.
Kuna siku nilitembelea wizara ya Nishati pale Mtumba Dodoma, kwenye mbao za matangazo kuna tangazo inahimiza watumishi wa wizara kuwa na account kwenye...
Unataka kuwatetea hao wapumbavu wanaoshangilia wananchi wanaotekwa, kubakwa, kufirwa na kuuwawa? Utakuwa sehemu ya wapumbavu wenyewe.
Yaani wapo Bungeni kama mawe hawawajibiki kukemea utesaji wanaopata wananchi kutoka kwa vikundi waliozianzisha vya kuteka waTanzania...inasikitisha sana.
Who cares? Kama USA usalama ndiyo taasisi wenye mamalaka ya kuangaza na kushauri yupi anafaa na yupi hafai lakini ndiye anamshauri na kumpendekeza mwenye diploma ateuliwe kuongoza taasisi ya elimu.
TISS taasisi ya kipumbavu sijapata kuona hapa duniani
Unajiuliza inakuaje mafuta inapitia Dar port alafu bei ya mafuta Lubumbashi ni nafuu kuliko Dar es salaam? Kweli penye miti hakuna wajenzi.
Sukari inatoka Brazil hadi Tanzania ila bei ni nafuu kuliko Sukari inayotoka Mtibwa.
Mchele inatoka Vietnam hadi Tanzania ila bei ni nafuu kuliko mchele...
Yaani unapandishwa hasira na mtu anaetembea huku yupo chini ya ulinzi tena mikononi ya wenzenu.
Kwakweli kilichosababisha nikaachana na Jeshi ni kutii hamuru za kipumbavu za namna hii.
Niliona kabla sijamtandika mkubwa wangu SMG, ni bora nikaendelee na mishemishe zingine...siku jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.