Recent content by ruhi

  1. R

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Zambia 2026: Hakainde Hichilema ashinda Urais kwa muhula wa pili

    Kwahiyo ni ruksa wengine kuendelea kuwa madictator kwa hofu ya kuwa Lissu akipewa nchi nae atakuwa dictator na kupindua matokeo? Upumbavu ni kipaji.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Sijali CCM itakaa madarakani muda gani

    If you don't want change, change will change you. Watake wasitake watabadilika tu, kwasasa nchi kama wananchi wake hawapo pamoja hakuwezi kufanikusha chochote. Rejea nchi ambayo wananchi wake hawapo pamoja kama wanaweza kufanikisha chochote. Ebu fikiria leo hii Tanzania iingie vitani na jirani...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kwa wapinzani wenzetu hivi nyie hamli, hamnywi, hamfanyi mazoezi?

    Mkuu Kule Sudan na DRC Congo nako kuna watu wanakula goodtime kama kawaida regardless ya nchi zao kuwa na vurugu kila kukicha. Allepo kule Syria nako kulikuwa vita japokuwa kuna wengine walikuwa wanakula rahaa. Mleta mada ni mmoja wa watekaji na wafiraji ndiyo wanakula rahaa kwani kazi yake ni...
  4. R

    JamiiForums Tanzania CCM tumieni akili basi kwenye haya mafekeche yenu

    Siku ya upigaji kura DSO wa Biharamulo alitafuta sana picha ya wapiga kura waliojipanga kwenye foleni ya watu kuanzia watatu ili aweze kuituma kwenye taarifa yake akashindwa kuipata. Wilaya nzima ya Biharamulo ilikuwa ni balahaa kwelikweli hapakuwa na wapiga kura kabisa... Pale Bunda ndiyo...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mange Kimambi: kuna mpango wa kugawa CHADEMA utakaohusisha viongozi wakubwa wa CHADEMA, unapangwa na kuratibiwa na wanaCCM. Chama kipya?

    Sisi wengine hatujaingia kazini rasmi bado tunasoma mchezo tukiwa nje. Mbinu zote zinazopangwa na System kwa faida ya kikundi na siyo faida ya nchi tunazisoma na kuendelea kuzifanyia tathmini na namna bora za kuzizuia na kuzigrounda kwa faida ya waTanzania. Kwa taarifa tu 29 Octoba ilibaki...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Wachokonozi: Kwa sheria za nchi yetu, lile halikuwa zoezi la ukamataji, niliona ni weledi mdogo katika utendaji kazi

    Washekomaa tayari waendelee na kazi, waachane na hao mataira wanafikiria kwa kutumia tumbo.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatengua Hukumu ya Eliakim Maswi Dhidi ya Mwita Waitara na Mara TV

    Kumbe Sheria rahisi hivyo? Kwamba ukiteuliwa hata kama ulikuwa Jambazi then automatically kesi ya ujambazi inafutika?
  8. R

    JamiiForums Tanzania Ujumbe maalumu kwa Mzee Jaji Warioba

    Unataka kusema nini sasa, hata hujui unataka kusema nini
  9. R

    JamiiForums Tanzania Shinyanga: Viongozi wengine Wawili wa CHADEMA washtakiwa kwa Ugaidi

    Unafurahia?
  10. R

    JamiiForums Tanzania Nyerere kakaa Ikulu miaka 23 haya mambo hayakuwepo

    Mnanata kwa biti..hadi mnatia kinyaa
  11. R

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Inaitwa Jeshi pesa, Jeshi masilahi...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Unaikumbuka Madrid wanachukua Eufa champions league na yule mchezaji wao Joselu kutokea bench? Baada ya msimu huo akakimbilia Uarabuni, mpira inahitaji ujanja ujanja. Kwangu mimi Welback ni back up ya uhakika. Kuna position kama forward na backline hutakuwi kuwa na young players wote.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Polisi Tanzania: Watuhumiwa 36 kati ya 130 Wafikishwa Mahakamani kwa Makosa ya Jinai

    Bahati nzuri charge sheets zote zipo zitatumika kama attachments wasituchezee in Lisu's Voice
  14. R

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    Muulize nani alikuwa analazimisha kile chumba cha Mwl ambacho huwa hakifunguliwi kifunguliwe? Aliacha kiasi gani pesa za wakandarasi; Popy yupo sahihi. Punguzeni kugombanisha familia kisa madaraka.
Back
Top Bottom