Recent content by ruhi

  1. R

    Walinzi wa Wake wa Marais wa Rwanda na DRC Wazozana Katika Hoteli nchini Marekani

    Ukikosa ustaarabu ni jambo la hatari sana
  2. R

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Kuna shida kwa viongozi wetu..Serikali inaifungia mtandao flani then inatumia VPN kutuma taarifa kupitia mtandao husika..inafikirisha sana. Kuna siku nilitembelea wizara ya Nishati pale Mtumba Dodoma, kwenye mbao za matangazo kuna tangazo inahimiza watumishi wa wizara kuwa na account kwenye...
  3. R

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Unataka kuwatetea hao wapumbavu wanaoshangilia wananchi wanaotekwa, kubakwa, kufirwa na kuuwawa? Utakuwa sehemu ya wapumbavu wenyewe. Yaani wapo Bungeni kama mawe hawawajibiki kukemea utesaji wanaopata wananchi kutoka kwa vikundi waliozianzisha vya kuteka waTanzania...inasikitisha sana.
  4. R

    Huyu Balozi Omar Kashera ni nani?

    Omar hajawai kuwa balozi bali aliwahi kufanya kazi ubalozini kama watumishi wengine.
  5. R

    Huyu Balozi Omar Kashera ni nani?

    Balozi wa Dubai ni Yocoub Mohamed, acha kupenda ubishi.
  6. R

    Huyu Balozi Omar Kashera ni nani?

    Tokea lini amekuwa Balozi huko Dubai?
  7. R

    Ukabila na Nepotism Serikalini: Janga Linalotafuna Utawala Bora na Umoja wa Kitaifa 🇹🇿

    Who cares? Kama USA usalama ndiyo taasisi wenye mamalaka ya kuangaza na kushauri yupi anafaa na yupi hafai lakini ndiye anamshauri na kumpendekeza mwenye diploma ateuliwe kuongoza taasisi ya elimu. TISS taasisi ya kipumbavu sijapata kuona hapa duniani
  8. R

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Yaani mhaini anaomba hukumu yake iharakishwe ila walioshtaki hawataki kesi iende kwa haraka ili kuokoa muda na pesa za walipa kodi. Aibu naona mimi
  9. R

    Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

    Aisee..mitaa hizo za Moshi. Kuna binti aliwahi kupotea na driva wetu hapo Red Stone
  10. R

    Mikumi daraja limekatika na kusombwa na maji

    Wahandisi wana kosa gani kama Kampuni ni ya mtoto wa kiongozi? Anatumia standard na materials anazopenda yeye.
  11. R

    Mchora Katuni wa Eritrea aachiwa huru baada ya kukaa gerezani miaka 15. Huenda wakina Soka watapatikana siku moja

    Then ataomba fidia na kulipwa mapesa mengi ya walipa kodi. Hapo ukute waliomshilia wengi walishatangulia kaburini.
  12. R

    Kodi za TPA 2026 chini ya DP World

    Unajiuliza inakuaje mafuta inapitia Dar port alafu bei ya mafuta Lubumbashi ni nafuu kuliko Dar es salaam? Kweli penye miti hakuna wajenzi. Sukari inatoka Brazil hadi Tanzania ila bei ni nafuu kuliko Sukari inayotoka Mtibwa. Mchele inatoka Vietnam hadi Tanzania ila bei ni nafuu kuliko mchele...
  13. R

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kwa usajili ule, Liverpool wapewe makombe yote makubwa. Haaaaa!! Mpira ina maajabu yake kwakweli, timu imebaki inacheza bora ya KMC.
  14. R

    Kama una roho nyepesi usifungue

    Yaani unapandishwa hasira na mtu anaetembea huku yupo chini ya ulinzi tena mikononi ya wenzenu. Kwakweli kilichosababisha nikaachana na Jeshi ni kutii hamuru za kipumbavu za namna hii. Niliona kabla sijamtandika mkubwa wangu SMG, ni bora nikaendelee na mishemishe zingine...siku jamii...
Back
Top Bottom