CHONDE CHONDE RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE:
Natanguliza salaam kwako Rais wetu Jakaya KiKwete, kwanza kabisa nakupa pole kwa majukumu mazito ya kujenga nchi. Pia tunakupongeza kwa kazi nzuri uliyoifanya kulifikisha taifa letu hapa lilipo kwa Amani na ultulivu. Kila dalili za uvunjifu wa Amani...
Wana jamii katika pita pita ayangu nimegundua kuwa CDM haikibariki nyumbani kwa mwasisi na kwa viongozi wakuu hasa kwa mwenyekiti Mbowe, je kumfukuza ZITO kunaweza kukiathiri chama ktk uchaguzi mwaka huu? angalia hizi takwimu za matokeo ya uchaguzi wa Urais mwaka 2010.
MATOKEA YA UCHAGUZI WA...
Watu wa Mkoa wa Kigoma siyo wanafiki km utokako wewe, hawachagui chama wanachagua wachapa kazi bila kujari yupo chama gani? angalia katika bunge la sasa wananchi wa mkoa wa kigoma waliwachagulia wabunge majembe na wamezitendea haki nafasi zao:- naomba unipe weaknesses za wabunge wafuatao na...
Nyerereite is a very rare sodium calcium carbonate mineral with formula Na2Ca(CO3)2. It forms colorless, platey pseudohexagonal orthorhombic crystals that are typically twinned. It has a specific gravity of 2.54 and indices of refraction of nα=1.511, nβ=1.533 and nγ=1.535...
Hapo ndiyo kuna matatizo ndani ya CDM km zzk hafai kuongoza si mngemnyima kura akachaguliwa anayefaa? Kwa kuwa CDM ni chama cha demokrasia kinatakiwa kufuata misingi hiyo. Mawazo yenu mnataka yawe mawazo ya chama.katiba ya chama anawapa wanachama wote haki sawa hayo maneno yanabaki ngonjera. Na...
Katiba mpya kurudisha nchi ya Tanganyika ni kukijeri mawazo ya waasisi wa Muungano wazee wetu, Hayati Mwl J.K NYERERE na Hayati ABEID AMAN KARUME. Kwa sababu kama kutakuwa na Tanganyika hakuna JinaTanzania kwa sababu Tanganyika ni muunganiko wa maneno kutoka TANGANYIKA NA ZANZIBAR. Naomba...
Anafunga wapinzania wake vifungo virefu gerezani, juzi kamfunga yule mama wa kihutu. hana ushupavu bari anatumia jeshi lake kuua na kufunga wananchi wenye mtzamo tofauti.
Watanzania tukubari kutofautiana kimawazo na kimtazamo, inasikitisha kuona baadhi ya watanzania kuwatukana km si kuwadhihaki wananchi wa Kasulu Kumpokea Zito Kabwe, wananchi wana makosa gani kumpokea? km zito ana makosa au viongozi wa Wilaya au mkoa wanaanchi wanahusika vipi? MBONA MZEE WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.