CHADEMA imeamua kujifuta Kigoma?

CHADEMA imeamua kujifuta Kigoma?

Ahsante kwa uchambuzi wako usio na chembe ya uoga na hii ni kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa letu.
japo kuna taarifa kuwa habari za mtanzania si za kweli ni kwa nia ovu ya kuuza gazeti lao.
 
Ahsante kwa uchambuzi wako usio na chembe ya uoga na hii ni kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa letu.
japo kuna taarifa kuwa habari za mtanzania si za kweli ni kwa nia ovu ya kuuza gazeti lao.


Asante mkuu,nimeandika haya nikiwa na dhamira safi ya kuona UKAWA unafanya vizuri na kuwashauri vizuri,hope nimetimiza jukumu langu kama mwanaUKAWA
 
Asante mkuu,nimeandika haya nikiwa na dhamira safi ya kuona UKAWA unafanya vizuri na kuwashauri vizuri,hope nimetimiza jukumu langu kama mwanaUKAWA
ACT haipo UKAWA ni tawi la CCM usiongopee watu kusema wewe ni mwana UKAWA ngese wewe!
 
Asante kwa uchambuzi lakini naamini hauwafahamu vizuri watu wa Kigoma. Wenyeji wa Kigoma ni wanafiki, waongo na vigeugeu sana. Nimefanyakazi miaka 10 Kigoma na nimekumbana na mambo ya ajabu sana hivyo kugeuka kwao toka CCM kwenda CDM kwenda ACT au NCCR ni mwendelezo tu wa tabia zao za Unafiki, Uongo na Ukigeugeu.

Wanaposema kua wanatafutu maslahi mapana ya nchI wanamaana tofauti kabisa mioyoni... waelewe Waha!!
 
Asante kwa uchambuzi lakini naamini hauwafahamu vizuri watu wa Kigoma. Wenyeji wa Kigoma ni wanafiki, waongo na vigeugeu sana. Nimefanyakazi miaka 10 Kigoma na nimekumbana na mambo ya ajabu sana hivyo kugeuka kwao toka CCM kwenda CDM kwenda ACT au NCCR ni mwendelezo tu wa tabia zao za Unafiki, Uongo na Ukigeugeu.

Wanaposema kua wanatafutu maslahi mapana ya nchI wanamaana tofauti kabisa mioyoni... waelewe Waha!!

Unafki wao ni upi,ni huo wa kuchagua kiongozi bora na si bora chama?
 
...coz ngazi ya urais tumeona mgawanyo mzuri,kwamba rais akitoka chama flani basi makamu na waziri flani atatoka chama kingine,vpi huku chini?tuongeze umakini ili CCM wasipige risasi moja na kuuwa upinzani coz tumeunganishana.,nachukulia habari ya jana ya gazeti la mtanzania ilikuwa ni mzaha uliolenga kuuza,the big the name,the big story,
UKAWA si chama, ni ushirikiaono tu wa vyama. Hilo la chama kimoja kutoa rais kingine kikatoa makamu litafanyika kwa katiba ipi!
 
ONDOA SHAKA KIJANA..NDIYO FAIDA NA HASARA ZA MAKUBALIANO/MARIDHIANO....UNAPATA NA KUPOTEZA KITU....s
 
Asante kwa uchambuzi lakini naamini hauwafahamu vizuri watu wa Kigoma. Wenyeji wa Kigoma ni wanafiki, waongo na vigeugeu sana. Nimefanyakazi miaka 10 Kigoma na nimekumbana na mambo ya ajabu sana hivyo kugeuka kwao toka CCM kwenda CDM kwenda ACT au NCCR ni mwendelezo tu wa tabia zao za Unafiki, Uongo na Ukigeugeu.

Wanaposema kua wanatafutu maslahi mapana ya nchI wanamaana tofauti kabisa mioyoni... waelewe Waha!!

Watu wa Mkoa wa Kigoma siyo wanafiki km utokako wewe, hawachagui chama wanachagua wachapa kazi bila kujari yupo chama gani? angalia katika bunge la sasa wananchi wa mkoa wa kigoma waliwachagulia wabunge majembe na wamezitendea haki nafasi zao:- naomba unipe weaknesses za wabunge wafuatao na ulinganishe na huko unapotoka km usingekuwa unaongelea bafuni/toilet ungekuwa muwazi kuwa wewe unatoka mkoa gani, kwa kuwa huwezi kutaja basi fanya comparison/contrast kati hawa wabunge:- MKOSAMALI -KIBONDO, MACHALI -KASULU MJNI, KAFULILA -KGM VIJIJINI, ZITO -VIJIJINI, SERUKAMBA -MJNI, WAZIRI CHIZA-KIBONDO, OBAMA -KASULU MAGHARIBI, NA BUYOGELA -KASULU VIJIJINI. Linganisha na ABOOD kutoka Morogoro, MAKONGORO mahanga Dar, Idd azan-Dar, Shabiby na nk. Hata huko Arusha ukimwacha Godless wengine wote hawana mvuto.

Nirudi kwenye majibu: Kwa taarifa yako wananchi wa mkoa wa Kigoma ni wananchi wa kwanza kuyajua mabadiriko ya siasa, ni wananchi wa Kwanza katika nchi hii kuupokea upinzani miaka ya 90, unanfahamu Aman Warid Kabour? huyu ni mpinzani wa kwanza kupambana na CCM (Azim premji) kabla ya mkoa wako haujui km kuna upinzani nchini. Nenda kwenye mtandao wa tume ya uchaguzi uangalie Dr Slaa na Rais Kikwete walipata kura kiasi gani kulinganisha mikoa ya kaskazini yaani Kilimamjaro na Arusha. Then urudi hapa.


[TABLE="class: cms_table, width: 604"]
[TR]
[TD="colspan: 4"]
MATOKEA YA UCHAGUZI WA URAIS 2010: WILAYA YA KASULU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]KASULU MJINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]18,336[/TD]
[TD]53.69[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]13,480[/TD]
[TD]39.47[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]538[/TD]
[TD]1.58[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]457[/TD]
[TD]1.34[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]343[/TD]
[TD]1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]66[/TD]
[TD]0.19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]50[/TD]
[TD]0.15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]882[/TD]
[TD]2.58[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]34,152[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]KASULU VIJIJINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]22,698[/TD]
[TD]46.44[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]22,219[/TD]
[TD]45.46[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]1,132[/TD]
[TD]2.32[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]702[/TD]
[TD]1.44[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]583[/TD]
[TD]1.19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]136[/TD]
[TD]0.28[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]92[/TD]
[TD]0.19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1,315[/TD]
[TD]2.69[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]48,877[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]MANYOVU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]27,224[/TD]
[TD]57.43[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]17,506[/TD]
[TD]36.93[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]603[/TD]
[TD]1.27[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]431[/TD]
[TD]0.91[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]368[/TD]
[TD]0.78[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]89[/TD]
[TD]0.19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]75[/TD]
[TD]0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1,106[/TD]
[TD]2.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]47,402[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]MATOKEA YA UCHAGUZI WA URAIS 2010: MKOA WA KILIMANJARO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]MANISPAA YA MOSHI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]MOSHI MJINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]25,707[/TD]
[TD]55.62[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]20,106[/TD]
[TD]43.51[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]135[/TD]
[TD]0.29[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]63[/TD]
[TD]0.14[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]30[/TD]
[TD]0.06[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]17[/TD]
[TD]0.04[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD]0.02[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]146[/TD]
[TD]0.32[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]46,215[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]WILAYA YA HAI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]HAI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]35,910[/TD]
[TD]64.85[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]18,513[/TD]
[TD]33.44[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]441[/TD]
[TD]0.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]210[/TD]
[TD]0.38[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]59[/TD]
[TD]0.11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]39[/TD]
[TD]0.07[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]22[/TD]
[TD]0.04[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]176[/TD]
[TD]0.32[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]55,370[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]WILAYA YA MOSHI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]MOSHI VIJIJINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]30,599[/TD]
[TD]57.12[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]20,896[/TD]
[TD]39.01[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]526[/TD]
[TD]0.98[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]203[/TD]
[TD]0.38[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]47[/TD]
[TD]0.09[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]40[/TD]
[TD]0.07[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]24[/TD]
[TD]0.04[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1,232[/TD]
[TD]2.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]53,567[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]VUNJO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]27,649[/TD]
[TD]50.01[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]22,442[/TD]
[TD]40.59[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]2,779[/TD]
[TD]5.03[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]461[/TD]
[TD]0.83[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]369[/TD]
[TD]0.67[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]180[/TD]
[TD]0.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]115[/TD]
[TD]0.21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1,289[/TD]
[TD]2.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]55,284[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]WILAYA YA MWANGA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]MWANGA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]20,548[/TD]
[TD]78.11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]4,681[/TD]
[TD]17.79[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]367[/TD]
[TD]1.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]205[/TD]
[TD]0.78[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]24[/TD]
[TD]0.09[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]20[/TD]
[TD]0.08[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]16[/TD]
[TD]0.06[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]446[/TD]
[TD]1.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]26,307[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]WILAYA YA ROMBO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]ROMBO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]33,335[/TD]
[TD]51.97[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]27,960[/TD]
[TD]43.59[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]682[/TD]
[TD]1.06[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]181[/TD]
[TD]0.28[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]92[/TD]
[TD]0.14[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]57[/TD]
[TD]0.09[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]56[/TD]
[TD]0.09[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1,775[/TD]
[TD]2.77[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]64,138[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]WILAYA YA SAME[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]SAME MAGHARIBI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]21,327[/TD]
[TD]77.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]5,360[/TD]
[TD]19.44[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]298[/TD]
[TD]1.08[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]113[/TD]
[TD]0.41[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]37[/TD]
[TD]0.13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]24[/TD]
[TD]0.09[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]14[/TD]
[TD]0.05[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]405[/TD]
[TD]1.47[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]27,578[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]SAME MASHARIKI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]18,788[/TD]
[TD]70.87[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]6,607[/TD]
[TD]24.92[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]414[/TD]
[TD]1.56[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]186[/TD]
[TD]0.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]41[/TD]
[TD]0.15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]28[/TD]
[TD]0.11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]12[/TD]
[TD]0.05[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]433[/TD]
[TD]1.63[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]26,509[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]WILAYA YA SIHA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]SIHA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidates[/TD]
[TD]Political Party[/TD]
[TD]Number of Votes[/TD]
[TD]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIKWETE JAKAYA MRISHO[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]15,570[/TD]
[TD]65.69[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SLAA WILLIBROD PETER[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]7,226[/TD]
[TD]30.49[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUGA PETER MZIRAY[/TD]
[TD]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD]241[/TD]
[TD]1.02[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LIPUMBA IBRAHIM HARUNA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]83[/TD]
[TD]0.35[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUNGWE HASHIM SPUNDA[/TD]
[TD]NCCR-MAGEUZI[/TD]
[TD]18[/TD]
[TD]0.08[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA[/TD]
[TD]UPDP[/TD]
[TD]14[/TD]
[TD]0.06[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD]0.05[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES[/TD]
[TD][/TD]
[TD]538[/TD]
[TD]2.27[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS[/TD]
[TD][/TD]
[TD]23,701[/TD]
[TD]100[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
rugumye

Baelezeee. Wananchi wa kigoma wapo makini sana wanajua wanachokitaka. Safi sana mkuu...
 
Last edited by a moderator:
We watake radhi kwanza watu wa kigoma, tabia hizi ni za watu wa kwenu. Miaka 10 yote unaishia kuwaporomoshea matusi namna hii labda ulikuwa unafanya kazi bar!.

Asante kwa uchambuzi lakini naamini hauwafahamu vizuri watu wa Kigoma. Wenyeji wa Kigoma ni wanafiki, waongo na vigeugeu sana. Nimefanyakazi miaka 10 Kigoma na nimekumbana na mambo ya ajabu sana hivyo kugeuka kwao toka CCM kwenda CDM kwenda ACT au NCCR ni mwendelezo tu wa tabia zao za Unafiki, Uongo na Ukigeugeu.

Wanaposema kua wanatafutu maslahi mapana ya nchI wanamaana tofauti kabisa mioyoni... waelewe Waha!!
 
RUGUNYEEEEE............napita tu. kavuranziri barakuutasha chane
 
RUGUNYEEEEE............napita tu. kaburanzwiri barakuutasha chane
 
Bado tupo sana ngoja tupate
10398082_737381719640850_4781221261012365297_n.jpg


tutawakimbiza sana na
10262228_744557568923265_7924950731719392265_n.jpg
 
Kuna kitu watu wanakikwepa, hawataki kukiri kwamba UKAWA ni ushirikiano wa Viongozi zaidi hasa ngazi ya taifa na sio Ushirikiano wa Viongozi wa ngazi za Chini na wanachama wenyewe, ndio maana shida kama hizi Zinajitokeza

Huu Ushirikiano ungekuwa upo mpaka chini kabisa kwa wanachama wenyewe wala kusingekuwa na shida hata kidogo, Mkuu unadai kama ikitokea NCCR ikaachiwa majimbo 6 ya Mkoa wa Kigoma itakuwa ni Kuifuta Chadema Kigoma pengine ni kweli lakini kumbuka huu ni ushirikiano kwa maana ya urafiki/undugu na rafiki wa kweli ni yule anayekubali kuumia kwa ajili ya rafiki yake hasa nyakati za shida

CHADEMA kupoteza majimbo 6 ya Kigoma kwa ajili ya rafiki yake NCCR sioni taabu yoyote maana ukisema uangalie uimara wa Chama basi Tangayika yote itabidi iachiwe Chadema na Zanzibar iachiwe CUF huku NCCR na NLD vikibaki wasindikizaji tuu

Suala la mganyo wa madaraka hasa upande wa uraisi pengine hujalielewa Vizuri kwa katiba tuliyonayo sasa hivi bado hairuhusu raisi na makamu wake kutokea vyama viwili tofauti kumbuka UKAWA sio chama!! Na bado katiba inasema pia waziri mkuu atatokea chama chenye uwakilishi wa wabunge zaidi bungeni
 
Asante kwa uchambuzi lakini naamini hauwafahamu vizuri watu wa Kigoma. Wenyeji wa Kigoma ni wanafiki, waongo na vigeugeu sana. Nimefanyakazi miaka 10 Kigoma na nimekumbana na mambo ya ajabu sana hivyo kugeuka kwao toka CCM kwenda CDM kwenda ACT au NCCR ni mwendelezo tu wa tabia zao za Unafiki, Uongo na Ukigeugeu.

Wanaposema kua wanatafutu maslahi mapana ya nchI wanamaana tofauti kabisa mioyoni... waelewe Waha!!


"Kumbe hutujui waha vizuri.Waha ni watu makini sana na wenye misimamo thabiti ila tunahujumiwa na viongozi makini tunaokuwa tumewachagua ambao mwisho wa siku wanatusaliti.Waha kusalitiwa si mambo mageni,tulishasalitiwa na Kabour (kigoma) pamoja na Nsanzugwanko (kasulu) ambao walikuwa maarufu sana enzi hizo.Tatzo la viongozi wetu wa kigoma wanakuwa wazuri ila wakishapata umaarufu tunalimbuka sana na kuwadharau wale waliokufanya uwe maarufu.Hivyo sifa kuu mbaya ya muha labda uniambie ulimbukeni"
Na jewe ndu muha!
 
Kuna kitu watu wanakikwepa, hawataki kukiri kwamba UKAWA ni ushirikiano wa Viongozi zaidi hasa ngazi ya taifa na sio Ushirikiano wa Viongozi wa ngazi za Chini na wanachama wenyewe, ndio maana shida kama hizi Zinajitokeza

Huu Ushirikiano ungekuwa upo mpaka chini kabisa kwa wanachama wenyewe wala kusingekuwa na shida hata kidogo, Mkuu unadai kama ikitokea NCCR ikaachiwa majimbo 6 ya Mkoa wa Kigoma itakuwa ni Kuifuta Chadema Kigoma pengine ni kweli lakini kumbuka huu ni ushirikiano kwa maana ya urafiki/undugu na rafiki wa kweli ni yule anayekubali kuumia kwa ajili ya rafiki yake hasa nyakati za shida

CHADEMA kupoteza majimbo 6 ya Kigoma kwa ajili ya rafiki yake NCCR sioni taabu yoyote maana ukisema uangalie uimara wa Chama basi Tangayika yote itabidi iachiwe Chadema na Zanzibar iachiwe CUF huku NCCR na NLD vikibaki wasindikizaji tuu

Suala la mganyo wa madaraka hasa upande wa uraisi pengine hujalielewa Vizuri kwa katiba tuliyonayo sasa hivi bado hairuhusu raisi na makamu wake kutokea vyama viwili tofauti kumbuka UKAWA sio chama!! Na bado katiba inasema pia waziri mkuu atatokea chama chenye uwakilishi wa wabunge zaidi bungeni
Mimi napata shida sana kwa huyu mheshimiwa anayeutaka ubunge huko Kibondo kushindwa kufahamu vitu basic kama hivyo.
 
Back
Top Bottom