Recent content by Rugumisa Ben

  1. R

    Kujifungua kwa njia ya upasuaji ni biashara ya hospitali binafsi?

    Nendeni pale lugalo.. kujifungua kawaida elfu ishirini.. kwa operation ni laki tatu tu.. huduma nzuri kabisa!.. Hospital nyingine ninayoweza kuthibitisha ubora wa huduma yake ni Rabininsia Memorial Hospital-tegeta.. kujifungua kawaida ni laki tatu na nusu. Na hawatengenezi mazingira ya kufanya...
  2. R

    UKAWA: Tanzania sio Dar-es-salaam tu

    Mkoa wa kigoma lowassa hakufika majimbo mengi. Mfano Jimbo la muhambwe na kigoma kaskazini kwa kijana wake serukamba
  3. R

    UKAWA: Tanzania sio Dar-es-salaam tu

    Hata huko mikoani lowassa anarukaruka kama njiwa. Mfano tanga kuna majimbo 11 yéyé kafanya kampeni majimbo manne ambayo ni tanga mjini.. Korogwe.. Muheza na bumbuli. Magufuli kafanya kampeni majimbo yote. Tanga waliojiandikisha ni 1.3m
  4. R

    UKAWA: Tanzania sio Dar-es-salaam tu

    Waliojiandikisha dar ni 2.6m na sio zaidi ya hapo.. Nimegundua watu wengi humu hawajui idadi ya wapiga kura kila mkoa
  5. R

    Naona hawa jamaa wana chama chao ndani ya UKAWA

    Huyo mwenye shati la blue ni mjumbe wa tume ya uchaguzi.. Amenaswa live
  6. R

    Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

    Mbona mwigulu amezindua kampeni Jimbo la kisesa-meatu.
  7. R

    Onyo: CHADEMA iache uhuni huu mara moja jimbo la Segerea

    Wewe unayemtisha kidera nadhani humjui. Atakung'oa meno. Kidera ni mbabe na mkorofi.
  8. R

    Onyo: CHADEMA iache uhuni huu mara moja jimbo la Segerea

    Ukweli ni kuwa segerea walipaswa kimpitisha mgombea wa chadema. Chadema ina nguvu sana kwenye hilo Jimbo na imejijenga kwa muda mrefu
  9. R

    Mshindi wa kura za maoni CHADEMA Bunda aliyekatwa na CC, ahamia CCM

    Na uongozi mzima wa chadema wilaya ya bunda umejiuzulu kupinga kupitishwa kwa esther bulaya. Nimesikia kupitia taarifa ya habari ya clouds FM. Wamelalamika sana.
  10. R

    Mwenyekiti NEC ni Shemeji wa Lowassa - Janga kubwa sana

    Ungeona alichofanyiwa lowassa dodoma kwenye uteuzi usingeleta huu uzi..
  11. R

    Kikosi cha kampeni cha CCM chatajwa kuongozwa na Kinana, Nape na Mwigulu ndani

    Ugomvi wa Diallo na lowassa ulitokana na lowassa kushinikiza Diallo ahamishwe kutoka wizara ya maliasili na utalii na kupelekwa wizara ya mifugo. Hii ilitokea baada ya Diallo kutoelewana na aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa wanyapori tanzania ndugu emmanuel severe. Severe na lowassa walikuwa watu wa...
  12. R

    GE2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

    Yeriko umechemka. Kama magufuli angekuwa na kashfa inayoeleweka miongoni mwa watanzania.. Tundu lissu angekuwa ameshalipuka kama baruti
  13. R

    Sophia Simba: Wanawake Jeshi Kubwa hang'oki CCM

    Kingunge sio mjumbe wa kamati kuu. Haingii kikao chochote
  14. R

    Lowassa amgaragaza Magufuli kwenye "media coverage"

    Waandishi wapo kwenye kipindi cha mavuno. Wanajua baada ya october 25 wanarudia maisha yao ya kawaida
  15. R

    Lowassa amgaragaza Magufuli kwenye "media coverage"

    Nchi hii inahitaji kujua Rais ajaye ataifanyia nini na sio mambo ya coverage!. Subir kampeni zianze ndio utajua nani zaidi ya mwenzake!..
Back
Top Bottom