Recent content by rugu kwetu

  1. R

    Nimeamua kuwatoa watoto wangu private primary school sababu walimu wao wanalipwa mishahara midogo isiyoendana na ada tunayolipishwa

    Ukosefu wa pesa tu aakupe hiyo milioni mbili uendeshe shule au ukioma wanafaid fungua na ww
  2. R

    Hii imekaaje? nashindwa kujielewa aisee

    Nikaribia wote yaan hata mm nikipiga laga zangu 5 hadi 7 nikiingia road kudrive ninakua na uwezo mkubwa kucotrol chombo na ninakua sahihi kwa kila jambo pia hata nje ya hapo ninawaza na kutenda kwa usahihi tofauti nikiwa sijanywa hivo bange na pombe ninadhani zinaongeza uwezo wa ubongo ika...
  3. R

    Hii imekaaje? nashindwa kujielewa aisee

    Nj kwawote hata mm mfano ninywe
  4. R

    KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

    Mpaka mda huu mbowe hawezi tena kututoa hapa tulipo baadhi ya mambo ambayo alidhani yangefaa yamefeli, pili mbowe kuna kila dalili ameishaamua kuungana na watawala itakua ngumu kuwakosoa tena
  5. R

    Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

    Sasa ndo ujue hata mgogoro wa mashariki ya kati kati ya israel na irani sababu kubwa ni hii yaan irani wanataka waeneze misimamo yao hivo kizuiz ni isirael hata leo isirael akatoweka bado amani haitakuwepo wataendelea kuwafyeka waisiram wa sunn ili wabaki wenyewe
  6. R

    Inasikitisha sana mji mzuri kama huu wa Walebanoni kufanywa magofu Kama Gaza kwa kuunga mkono magaidi wa Hizbola

    Salama kivip? Irani ni mshia anaona waisiramu wengine kama hawafai bado hata bila ya isirael vita ingekuwepo tu. Ukisemea hamas ni wavamiz tu na wapo kinyume na wapalestina kwan kiongoz wa palestina hagombani na isirael zaid ya hamas
  7. R

    Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa Rais Macron wa Ufaransa

    Hivi mnajua vita wanayopigana ilivyo ngumu? Magaid hawa hawana uwanja maalumu wa vita hata nyumba za raia unakuta maroket sasa wewe kama ni netanyau utafanyaje? Yaan unishambulie alafu ujifiche nyuma ya mtoto nikuache uendelee haiwezekani na ngoma hii haiishi leo
  8. R

    Somo tunalolipata kutoka kwa taifa la Israel. Mwanaume hapigwi na mkewe, ikitokea, ni mwanaume kaogopa jela tu

    Hata hao hamas si hamas kama ujuavyo hata usishangae urusi ukamkuta humo hivo vita inapiganwa kwa alliances na si individuals
  9. R

    Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

    Ndugu itakua wewe ni wa buku mbili ama umeoa ukiwa mdogo, hizo ni dalili mbaya wameisha lishana maneno kitakacho fata utachangiwa mpaka wewe uhame nyumba, ni i cha kufanya kwanza mtoto wa kike huyo shemeji alipaswa alale nje alale gest ukiamuka unamfunga mpaka stend anarudi aliko toka , ikiwa...
  10. R

    Israel kuivamia Lebanon ndo utakua mwisho wake watajutia milele

    Ndoto za mchana amuka usije jikojolea
  11. R

    Unatoa wapi ujasiri wa kufanya upinzani ikiwa huna kinga yoyote?

    Umetumwa na maccm kila mmoja akisema hivo hii nchi itakuwaje si vituko tu acha kujazana uoga
  12. R

    Msaada kwa mwenye kujua hili

    Kama kuna mtu au wataalamu wa kupuliza dawa majumbani ninaomba tuwasiliane kuna wadudu wanakula mbao za dali ninaitaji sana kama yupo tuwasilane kwa kazi hii
  13. R

    Hamna taifa litaloweza kuing’oa Israel Mashariki ya Kati maana hapo ndipo nyumbani!

    Nawewe ujitaidi usiwe na upande mbona mauaji ya waisirael hauyazungumuzi
Back
Top Bottom