Kama sikosei karibu mwaka sasa Tanzania katika mzunguko kuna noti za aina mbili tofauti. Noti hizo ni Tshs. 500, 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000 mpya na za zamani zote zinaendele kutumika, na hadi sasa sijasikia tamko la serikali kuhusu mwisho wa kutumika zile za zamani. Cha kushangaza zaidi ni...