Recent content by Rufiji dam

  1. Rufiji dam

    Hizi ndizo silaha hatari ambazo Mchina kazionyesha kwenye gwaride lake! Wachambuzi mpo!

    Za Kichina hizo achana nazo. Hawana tofauti na JWTZ.
  2. Rufiji dam

    Mama Samia ndio Rais asiye mashughuri Tanzania kuliko wote tangu kupata uhuru

    Dar es Salaam kaweka mabango kila pahala lakini hakuna ushawishi wowote. Mama hapendwi hasa.
  3. Rufiji dam

    GE2025 Kibonde: Polepole ni mmoja wa wanamtandao ambao walikuwa wanataka kumwondoa Rais Samia asigombee urais

    Ulichoandika baba yako akijua atasema bora wangekutafutia mume uolewe uwe mke wa mtu.
  4. Rufiji dam

    GE2025 Sheikh Haruna atoa onyo kwa Humphrey Polepole kuhusu kauli zinazomchafua Rais Kikwete

    Dunia ipi hiyo Shekhe Ubeche? Unataka IST kwa nguvu maana nyie Mashekhe hamnq hatq Guta.
  5. Rufiji dam

    GE2025 Nchimbi: CCM Itahakikisha Katiba Mpya inapatikana

    CCM ndio inamiliki Katiba?
  6. Rufiji dam

    Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

    Roho nbaya inakusaidia nini?
  7. Rufiji dam

    Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Wanajeshi wa nchi hii ni wapuuzi sana. Wapo busy kukimbizana nq wavaa combat wanaachq akina Kizigha na Abdul wafanye watakavyo.
  8. Rufiji dam

    Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    Makonda anaenda kuwa Mbunge huku Wamarekani hawamtaki.
  9. Rufiji dam

    Kukosekana kwa bunifu za miradi mikubwa katika kampeni za CCM kunapunguza mvuto!

    Sikujua kama huyu Mama hana uwezo kabisa katika kujenga hoja zenye mashiko. JWTZ chukueni hii nchi la sivyo tunaenda kutumbukia shimoni.
  10. Rufiji dam

    Anayeijua nguvu ya CCM, Hawezi kupoteza muda kujibizana mitandaoni

    Wewe ndio PHD HOLDER? ama ni Daktari kama Manyaunyau au Profesa Vulata? Hauna akili hata moja. Nguvu ya CCM ni Polisi na TISS waweke pembeni hao uone.
Back
Top Bottom