Mkuu hii nchi ina pesa , mtu anakuambia "yani hizo bilioni mnazoniuliza nazo kila saa ni hela ya mboga tu", au mwingine anashuka na gadhabu uwanja wa ndege, "yani mnanisumbua na hivyo vijisenti(bilioni ) "?
Kwaio hizo milion 500, 890, 700, ni pesa za kawaida za kununua boksa au soksi tu.