Recent content by RUDEBWAY

  1. RUDEBWAY

    Asante tours hiki unachokifanya si ubinadamu

    sababu ya mzigo kilo 35 alitoa taarifa ( kpap ) kilimanjaro porter association ndo maana akafanyiziwa sisi tupo nao huku mlimani tunayajua haya lakin ahsante tours inalindwa na mkuu mmoja kinapa anaitwa mombo. Mliyosema wazewe niya...
  2. RUDEBWAY

    Asante tours hiki unachokifanya si ubinadamu

    ni kweli kabisa mimi mwenyewe nlikuwa nafanya kazi hapo. Niliondoka nikaacha nimerudi company za home arusha.. Kuna matatizo mengi wafanya kaz wana pata hususan wapanda mlima.
  3. RUDEBWAY

    unavutiwa na msichana yupi?

    mi nataka maji kunde na mrefu wastan alibenuka kiono
  4. RUDEBWAY

    Rafik yangu wa kiume ananitaka kimapenzi

    Mashoga hao tuwapotezeeeeee
  5. RUDEBWAY

    Natafuta girlfrend

    aah wa mtaa ndo hawa hawa wadigital. Kwan wa digital wametokea wap? Another planet. Aah aise mi nipo real. Niunganishie hata dada ako bas
  6. RUDEBWAY

    Natafuta girlfrend

    nishuke mistar, aje kuwa my special one
  7. RUDEBWAY

    Natafuta girlfrend

    AAH huku nikukomoa, cjamanisha aina hiyo,
  8. RUDEBWAY

    Natafuta girlfrend

    Natafuta girlfrend kweli nipo real, jaman mi kijana wa kitanzania nlie mpweke natafuta wa kuntoa upweke jaman, haya sifa awe mkaz wa arusha au mosh, napia asizid miaka 22, schangui din wala kabila
  9. RUDEBWAY

    Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

    jamaa anaboa na udini wake aah nimekereka
  10. RUDEBWAY

    Siri kuu za CHADEMA hizi hapa...

    Kweli; hapo upo sawa inaelekea umepevuka maarifa
  11. RUDEBWAY

    Marafiki

    Rafiki
  12. RUDEBWAY

    Marafiki

    Mpo poa wana jf, natafuta girlfreind, awe under 22 years awe mkaz wa arusha, sichagui dini wala kabila sichagui, mimi nina miaka 24
  13. RUDEBWAY

    Mkuu wa mkoa wa Arusha kwa hili tafuta njia ya kukimbia mji

    Kweli hii kesi, anageuziwa lema, rc jipange huku watu tumefunguka, badilisha kauli. Kumbuka lema tumechagua sisi wananchi, we umeteuliwa na mwenyekiti wenu wa ccm, si hata atukujui kabla rc arusha ulikuwa nan
  14. RUDEBWAY

    Sababu iliyomfanya mkuu wa mkoa Arusha kupigwa mawe

    Ndiyo rc ajitambue, arusha watu wameamka, nawanafunguka
Back
Top Bottom