A man who police say is a “most wanted leader “of a heroin trafficking ring operating between Tanzania and China yesterday surrendered to authorities after an intensive two-week manhunt.
Mr Ayubu Mfaume, alias Kiboko, presented himself at the headquarters of the Drug Control and Enforcement...
Ten years ago, a Kenyan cartoonist caused an uproar when, in one of his drawings, he depicted Tanzanian journalists licking the feet of the president at a press conference — instead of engaging him with questions.
The president was Jakaya Kikwete, a self-styled friend of the media, who enjoyed...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa – TAKUKURU imewafikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, maafisa wawili pamoja na kibarua mmoja wa Mamlaka ya Mapato nchini TRA kwa makosa matatu ya kuomba na kupokea rushwa.
Wakili wa TAKUKURU Bw. Lupyana Mwakatobe ameiambia...
Sakata la Uchaguzi Mkuu wa Gambia linazinazidi kuchukua sura kila uchao kufutia Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU),Rais Idris Derby wa Chad,na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja huo Nkosazana Dlamini Zuma,kutoa tamko zito la kumtaka Rais,Yahya Jammeh,kuheshimu matokeo ya Uchaguzi.
Katika taarifa...
Wimbi la utupaji watoto wachanga wenye umri wa siku moja hadi kumi na mbili kwenye maeneo ya karibu na hospitali, mitaroni jalalani na kando ya vituo vya kulelea yatima limezidi kushika kasi katika mkoani wa Arusha ambapo kwa kipindi kifupi inadaiwa zaidi ya watoto themanini wameokotwa na...
Katika kuadhimisha siku ya haki za binadamu ulimwenguni, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC) kimesema hali ya haki za msingi za kiraia na kisiasa imezidi kuwa mbaya kwa wastani tangu kuisha kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kufuatia uanzishwaji wa sheria mpya ambazo huleta vikwazo...
Ndege ya Rais wa Liberia, Bi. Ellen Johnson Sirleaf imekataliwa kutua nchini Gambia. Taarifa hizi zimethibitishwa na Waziriwa Mambo ya Nje wa Senegal akiongea na radio moja nchini mwake.
Ndege ya Bi. Sirleaf ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi(ECOWAS) imekataliwa...
Mchungaji huyo maarufu kwa jina la Rufus Phala kutoka kanisa la AK Spiritual Christian lililopo Makgodu, Limpopo, Afrika Kusini amewashangaza watu kwa kitendo cha kuwanywesha watu dawa ya kuua bakteria wanaoishi kwenye majimaji “Dettol” wakati ijulikana kuwa Dettol ina madhara endapo itatumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.