Huyo nyerere alikuwa ni Mnafiki ambaye alikuwa anaamini mawazo yake tu ndio yako sahihi na ukija na wazo la kumshauri inakula kwako,Unaweza kupotelea pasipojulikana,Halafu nasikia alikuwa anaitwa Mr.Haambiliki
Kama heading ilivyo naomba kujua kuhusu hii allowance inayotelewa ya 950 TL Serikali ya Uturuki, je inatosha kwa matumizi kweli, kwa mtu mwenye majukumu mengine nyumbani?
Sudani na Tanzania ni Nchi ambazo zina historia ya ushirikiano ambapo 1962 ,mwaka mmoja tu baada ya kupata Uhuru kila Nchi ilifungua ubalozi wake,Tanzania ilifungua Khartoum-Sudan na Sudani ilifungua Dar-ssalaam
Tanzania.
mwaka 1985 Tanzania haikuwa na balozi Nchini Sudani mpaka sasa ampapo...
Wakuu mimi ni mhitimu wa shahada ya Maabara za afya (Health Laboratory Sciences),naomba kufahamishwa utaratibu utumikao kutuma maombi ya kujiunga na mafunzo kwa vitendo(internship) hasa kwa wahitimu wa taaluma ya Maabara za afya.
N.B
Japokuwa wizara ya afya imesitisha zoezi la utumaji wa maombi...
Huyu muha hafai kabisaa..si ndo alisema eti kwenye mtihani wa a-level islamic knowledge 2012 baada ya kubanwa na mjahidina eti kompyuta zilisala ha!ha!ha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.