Miaka ni just numbers as long as mnaelewana na mnaweza kuishi kwa amani, furaha na upendo na kuvumiliana madhaifu yenu kubali uwekwe ndani mwamba aendelee kupiga muwa mdogo mdogo
Don't let other people metrics of success become yours...though tunashauriwa kujifunza kwa walio fanikiwa
Success Ni suala La muda tuu maana Mungu ndiye anaepanga nani ampe na kwa wakati gani maana scripture zinasema Mungu wetu hawahi wala hachelewi bali hujibu kwa wakatu
Thus, unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.