Recent content by roy manning

  1. R

    Ni fakati gani ambazo hazitapewa mkopo mwaka huu?

    faculty zote ambazo hazina priority kwa serikali,hvy ukizichagua ni uamuzi wao kukupa au la huku vigezo vingine vikihusishwa!
  2. R

    MAFURIKO: Hali ya usafiri Dar yawa tete, makazi yasombwa!

    hali ikizidi kuendelea hiv itazidi kua mbaya mana karibia kila sehemu jijina hasa mabondeni na sehemu tunapokaa wananchi wa kipao cha chini....shime ndugu zangu tusaidiane kusaidia wenzetu.
  3. R

    Ulimboka apandishwa mahakamani na takukuru kwa kosa la rushwa

    mi nadhani wamekosa cha maana cha kufanya haswa kujikita kwenye rushwa ambazo hazituathir kitaifa moja kwa moja na kuziacha rushwa za waheshimiwa ambazo zinatufanya tz tuwe nchi masikini huku gap la walionacho na hawana likiongezeka!mi nadhani hii taasis ingeitwa "ya wala rushwa" 'a sio kama...
Back
Top Bottom