Recent content by rovita

  1. rovita

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna ya kuwatoa Wanachama wengine mliojisajili pamoja kwenye Kampuni

    Hiyo Point no 1, Kam kampuni ina miaka 3 imekaa je? Bcoz ndo naona njia simple.
  2. rovita

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna ya kuwatoa Wanachama wengine mliojisajili pamoja kwenye Kampuni

    Plz weka sauti kwa faida ya watu wote.....
  3. rovita

    JamiiForums Tanzania Tatizo la uhaba wa Dollar ni kubwa

    Anza kwanza kujua nijins gani nchi inaweza kuongeza akiba ya fedha za kigeni nchi?
  4. rovita

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna ya kuwatoa Wanachama wengine mliojisajili pamoja kwenye Kampuni

    Habari, Tulifungua company tulikuwa tupo wanne. Ila now wawili wanataka kujitoa katk company. NAOMB USHAURi JINSi YA KUWATOA WASISOMEKE KATKA REGISTRATION ZA BRELA. Please ushauri
  5. rovita

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi 88 Washindwa Kumaliza Kozi TMA

    Vigezo n masharti kuzingatia, wateule wa Mungu huwa ni wachache, hao ndo wateule waliochaguliwa na MUNGU
  6. rovita

    JamiiForums Tanzania Tigo mbona mnafanya vitu vya kijinga

    Kuna kamtindo kamezuka siku hizi, unafungiwa line Yako and then ukiwapigia wanakwambia line Yako inadaiwa fedha, wakati hujawahi kopa Hela yoyote.... Plz ushauri au nani kakutana na kitu kama hicho.
  7. rovita

    JamiiForums Tanzania Je, kasi ya Chalamila ya madanguro ya DSM itazaa matunda?

    Hongera San muheshimiwa mkuu wa mkoa, kwa KASI nzuri ya kuondoa au kama syo kufuta kabisa biashara ya MADANGURO katika Jiji lenye STAREHE zote. -Jiji la DSM ni Jiji la kipekee miongoni mwa majiji yote Tz, je utaweza kutokomeza biashara hzo?? -Tumeona wakuu wa mikoa wengi wamepita walikuja na...
  8. rovita

    JamiiForums Tanzania Napitia magumu na makubwa moyo unaniuma natamani kuchukua maamuzi ila sina nguzo imara ya kusimamia naombeni ushauri

    Kumbe jibu unalo sasa...au ujui kutongoza?tafuta chuma kipya
  9. rovita

    JamiiForums Tanzania Napitia magumu na makubwa moyo unaniuma natamani kuchukua maamuzi ila sina nguzo imara ya kusimamia naombeni ushauri

    Tafuta chuma kipya hao wameubwa hvyo.....ni master minder na profit ordinates.MAKE CHOOSE MAPEMA BOY
  10. rovita

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa biashara ya kutoa mikopo

    Sawa, vp usajili wa BOT lazima ukasajili pia Incase of enterprise......?
  11. rovita

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za mizigo za miguu mitatu(3)

    Habar, mbn email not found!?
  12. rovita

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa biashara ya kutoa mikopo

    Business name lazima hiwe registered BRELA?
  13. rovita

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za mizigo za miguu mitatu(3)

    Hi, natakununua pikipiki za miguu mitatu,ila na Hela nusu na nilisikia Kuna kampuni zipo kariakoo unalipa nusu and then unapatiwa pikipk and then nyingine unalipa kidogodogo,ukimaliza kulipa unapatiwa Card ya pikpik....Naomba pata Access ya hizo kampuni(namba za simu)
  14. rovita

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa biashara ya kutoa mikopo

    Ni kweli ila tutapambana hvyo hvyo
Back
Top Bottom