Recent content by Roving Journalist

  1. Roving Journalist

    LIVE Mwanza: Mjadala wa wazi kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025

    Mjadala wa wazi kati ya viongozi wa Dini na Wanananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 Mwanza katika ukumbi wa Nyakahoja leo Machi 26, 2026. Viongozi wa dini wanaoshiriki mjadala wa leo ni; Sheikh Hamisi Mataka - BAKWATA, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu Bishop Nelson Kisare -...
  2. Roving Journalist

    UDOM: Madai ya Walinzi wa geti la kuingia chuo kuchukua fedha kwa Bajaj na Bodaboda yanafanyiwa uchunguzi

    Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuwa kuna changamoto ya Maafisa Usalama wanaosimama katika geti la kuingia Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kuwasumbua wanaopita hapo hasa Boidaboda na baadhi kuwataka watoe fedha taslim, ufafanuzi umetolewa kutoka chuo hicho. Mdau alihoji uhalali wa fedha...
  3. Roving Journalist

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    TAARIFA YA KIFO CHA MHE. WILLIAM VANGIMEMBE LUKUVI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anasikitika kutangaza kifo cha Mheshimiwa William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge...
  4. Roving Journalist

    Waziri Kombo awasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa 2025/2026 na mpango wa 2026/2027 kwa Kamati ya NUU

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa mwaka 2025/2026 na mpango wa bajeti wa mwaka wa Fedha 2026/2027 kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama (NUU) jijini Dodoma. Akiwasilisha...
  5. Roving Journalist

    Kamati ya Miundombinu yapitisha Randama ya Bajeti Wizara ya Ujenzi 2026/2027, yapongeza mikakati ya kupunguza foleni

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imepitisha Randama ya Mpango na Bajeti ya Matumizi ya Kawaida na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ya Wizara ya Ujenzi hatua inayotajwa kuwa muhimu katika kuendeleza kasi ya uboreshaji wa miundombinu nchini. Akizungumza jijini Dodoma...
  6. Roving Journalist

    Serikali inaboresha miundombinu ili Mtoto wa Kitanzania apate haki yake ya msingi ya elimu bora - Prof. Shemdoe

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inaendelea kusimamia uboreshwaji wa miundombinu ya elimu nchini, ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata haki yake ya msingi ya elimu bora katika mazingira...
  7. Roving Journalist

    Rais Samia akishiriki Baraza la Eid el-Fitr Machi 21, 2026 Dar es Salaam

    Rais Samia akishiriki Baraza la Eid el-Fitr Machi 21, 2026 ukumbinwa JNICC, Dar es Salaam https://www.youtube.com/live/_XXQIxKOIfM?is=RI-9209DrxuM140a Updates... Wakati akizungumza katika Baraza la IDD EL-FITRI lilifanyika Jiji Dar es Salaam Marchi 21, 2025 Rais Samia amesema hali baadhi ya...
  8. Roving Journalist

    Prof. Shemdoe: Mkandarasi anayejenga barabara kuelekea Uwanja wa AFCON 2027 Arusha hataongezewa muda

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya M/s China Railway Construction Engineering Group kuhakikisha ifikapo Mei 2027 iwe imekamilisha ujenzi wa miundombinu ya bababara za kuelekea na kuzunguka uwanja mpya utakaotumika katika Mashindano ya...
  9. Roving Journalist

    Kamati ya TAMISEMI yapitisha Randama ya Bajeti ya OWM - TAMISEMI

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imepitisha Randama ya Mpango na Bajeti ya Matumizi ya Kawaida na Mpango wa Maendeleo kwa Mwaka 2026/27 ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OWM- TAMISEMI)na kuelekeza itakapopitishwa na Bunge utekelezaji wake ukalenge kuwaletea...
  10. Roving Journalist

    Ofisi ya DED kuchunguza madai ya Walimu kukwepa majukumu ya kufundisha katika Shule ya Msingi Kishangazi (Tanga)

    TAARIFA KWA UMMA Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuari ya Wilaya ya Lushoto imeona taarifa iliyotolewa katika Mtandao wa kijamii wa JamiiForums ikieleza kwamba katika Shule ya Msingi Kishangazi, iliyopo Kijiji cha Kishangazi, Kata ya Shagayu ni Mwalimu Mmoja tu ndiyo anafika shuleni...
  11. Roving Journalist

    Mbunge wa Jimbo la Malinyi, Dkt. Mecktridis Mdaku atoa fedha kuweka mfumo wa maji Kituo cha Afya Itete

    Mbunge wa Jimbo la Malinyi, Dkt. Mecktridis Mdaku ametoa msaada wa kuboresha mfumo wa usambazaji majisafi katika kituo cha Afya cha Kata ya Itete, Kilichopo Wilaya ya Malinyi, Mkoani Morogoro na kusaidia kuondoa adha ya upatikanaji wa maji iliyodumu kwa muda mrefu Kituoni hapo. Hatua hiyo...
  12. Roving Journalist

    Baraza la Madaktari Tanzania laongeza muda wa usajili wa madaktari hadi Aprili 30, 2026

    Watoa huduma za afya nchini Tanzania wamepewa nyongeza ya mwezi mmoja kukamilisha usajili wa lazima wa kitaaluma, kufuatia malalamiko mengi kuhusu changamoto za kiufundi katika mfumo wa mtandaoni. Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) hapo awali lilikuwa limeweka tarehe 31 Machi 2026 kama mwisho...
  13. Roving Journalist

    Waziri wa Ulinzi ashuhudia Jeshi la Wananchi na Jeshi la Marekani wakisaini Makubaliano ya Ushirikiano Kijeshi

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 12 Machi,2026, katika ofisi ndogo za Wizara ya Ulinzi na JKT, Upanga, jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi cha Jimbo la Nebraska nchini Marekani (Nebraska National Guard)...
  14. Roving Journalist

    Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira yapongeza mradi wa ujenzi wa Bwawa la Kidunda Mkoani Morogoro

    Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha Shilingi Bilioni 335 ili kutekeleza mradi wa ujenzi wa Bwawa la Kidunda, mkoani Morogoro. Kamati hiyo ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Jackson Kiswaga (Mb)...
  15. Roving Journalist

    PostGE2025 Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025

    Mkoani Arusha katika ukumbi wa Centre House, Kanisani Road, Uzunguni kunafanyika mjadala wa wazi ukiangazia suala la Amani na yaliyotokea wakati wa uchaguzi wa Octoba 29, 29. Viongozi wa Dini wanaotarajiwa kuwepo ni Ask. Dr Fredrich Shoo na Sheikh Khamis Matata, na wananchi waliokuwa mbali na...
Back
Top Bottom