Recent content by Roving Journalist

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dorothy Manka J. Semu: Tuungane kupigania Katiba mpya na kukabiliana na mkwamo wa kisiasa nchini

    TUUNGANE KUPIGANIA ΚΑΤΙΒΑ MPYA NA KUKABILIANA NA MKWAMO WA KISIASA NCHINI Chama cha ACT Wazalendo kinatoa wito kwa Watanzania wote kuungana na kudai kwa nguvu zote kuanzishwa mara moja kwa mchakato wa Katiba Mpya ya wananchi. Tunaamini kuwa mkwamo wa kisiasa unaoendelea nchini hauwezi...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe aweka jiwe la msingi ujenzi wa madarasa na ofisi Shule ya Msingi Mkwajuni - Lindi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa madarasa manne na ofisi moja ya Mkuu wa Shule ya Msingi Mkwajuni, Kata ya Kitomanga, Manispaa ya Lindi, ikiwa ni utekelezaji wa...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mikopo (HESLB): Dirisha Kuwa Wazi Hadi Sept 18 Kwa Wanaokamilisha Maombi

    DIRISHA KUWA WAZI HADI SEPT 18 KWA WANAOKAMILISHA MAOMBI Tunawajulisha waombaji na umma kwa ujumla kwamba, baada ya kuongeza siku 14 za kukamilisha maombi ya mikopo, zimejitokeza changamoto zinazowaathiri baadhi ya waombaji na hivyo kushindwa kukamilisha maombi yao kwa wakati. Kwa kuzingatia...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe azitaka Wilaya, Halmashauri zote kujiandaa kukabiliana na athari za Mvua za El Niño

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amezielekeza Wilaya na Halmashauri zote nchini kuhakikisha zinafanya kazi ya kuzibua mitaro na mifereji ya maji ili kujiandaa na kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Ubungo yafafanua madai ya maeneo ya Mbezi Luis na Magufuli Terminal kunuka harufu ya mikojo

    Hoja ilipoanzia ~ Maeneo ya Stendi ya Mbezi Maramba, Darajani, korido la jengo la Abiria na Gereji (Stendi ya Magufuli) kunanuka mikojo TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UFAFANUZI WA TAARIFA YA HARUFU YA MIKOJO KATIKA MAENEO YA STENDI YA MALAMBA, DARAJANI, KORIDO ZA JENGO LA ABIRIA NA GEREJI YA STENDI YA...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Responded Ndejembi: Tuchukue hatua kwa haraka, kuna maeneo vifusi vimetelekezwa, mvua zikija barabara zinakuwa kero

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akizungumza na Viongozi wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Wizara ya Ujenzi pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara hizo, katika kikao cha maandalizi ya namna ya kukabiliana...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Yuko wapi aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi?

    Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado, ametoa wito kwa familia ya Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Emmanuel Nchimbi kujitokeza hadharani na kuwahahakishia Watanzania kuwa yuko salama. Ado ametoa wito huo Septemba 10, 2026 wakati akizungumza katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Katibu Mkuu ACT Wazalendo yafanya kikao na Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa

    Chama cha ACT Wazalendo kimefanya kikao baina ya Ofisi ya Katibu Mkuu na Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa ya Simiyu, Mara, Kagera, Mwanza, Geita, Shinyanga na Mkoa wa Kichama Kahama kwa ajili ya kuweka mkakati wa pamoja wa ujenzi wa Chama Kanda ya Ziwa. Mbali na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndg...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mchinjita: Mikoa itangaze maeno hatarishi kuelekea El Nino, yaandaliwe maeneo salama

    Septemba 6, 2026 Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita alizungumza na Wanahabari, pamoja mambo mengine alizungumzia suala la El Nino na jinsi Serikali inavyoshindwa kujiandaa kukabiliana nayo. ACT Wazalendo hatutaki maneno bila vitendo, kwa kuwa mvua hizi zinaweza kusababisha...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, Dk Conrad Agonza Kahyoza amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Dar es Salaam, leo Septemba 10, 2026, baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumshambulia askari wa Usalama Barabarani katika...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TAWCA yapongezwa kwa kuwa nguzo ya uchumi wa kidijitali, uadilifu

    Serikali imekipongeza Chama cha Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), kwa mchango wake katika tasnia ya uhasibu nchini lakini pia kwa kuimarika na kuwa taasisi muhimu katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb)...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Nchemba awasili Arusha, kufungua Mkutano wa Kimataifa wa Huduma za Afya ya Msingi

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Septemba 9, 2026, amewasili mkoani Arusha kwa ajili ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Huduma za Afya ya Msingi. Mkutano huo unafanyika katika Kituo cha...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Warsame: Tunaongeza nguvu ya ujenzi wa Bomba la Gesi Asilia (Kilomita 22) kabla ya El Niño

    UJENZI wa bomba la gesi asilia lenye urefu wa kilomita 22 kutoka Kisemvule hadi Mbagala umeingia hatua muhimu, huku Kampuni ya Rashal Energies Limited ikiongeza kasi ya kazi katika maeneo ya njia yanayoweza kuathiriwa zaidi na mvua kubwa. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Rashal Energies...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Responded Sekretarieti ya Ajira: Tumeboresha Mfumo wa Ajira Portal, ambao hawakufaulu usaili wanapewa ujumbe

    Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imefanya maboresho katika mfumo wa Ajira Portal kuwezesha upatikanaji wa taarifa za matokeo ya usaili wa mahojiano ya ana kwa ana (Oral interview.) Wale waliofaulu na kuhifadhiwa kwenye Databank wamepata status za “Passed and stored...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa Nchini Siku ya Pili, Septemba 8, 2026

    https://www.youtube.com/live/agidvwf0GKE Kituo cha Demokrasia Tanzania chenye wanachama wanaojumuisha CCM, CHAUMA, ACT Wazalendo, Chama cha Wanannchi CUF pamoja na NCCR Mageuzi leo wanakutana kuzungumza kuhusu hali ya demokrasia Tanzania, na matukio ya wakati wa uchaguzi na baada ya Uchaguzi...
Back
Top Bottom