Maafisa wa Jeshi la Polisi mapema leo wamefika katika msiba wa Sefu Mussa, mkazi wa Matejoo jijini Arusha, aliyefariki dunia baada ya kudaiwa kupewa adhabu na askari watatu wa Hifadhi ya Ngorongoro.
Sefu alidaiwa kufariki baada ya yeye na wenzake kupotea njia Aprili 12, 2026, walipokuwa...
ACT Wazalendo tunalaani vikali matukio yaliyoota mizizi ya askari wa hifadhi mbalimbali nchini kufanya vitendo vya kinyama kwa raia na wananchi ikiwa ni pamoja na kuwatesa, kuwadhalilisha na kuwaua kikatili. Tukio la Agosti 12, 2026 katika Hifadhi ya Ngorongoro ni uthibitisho wa matukio mengi ya...
Kufuatia Mamlaka ya Kudhibiti Vyakula na Dawa Rwanda (FDA) kuweka zuio la baadhi ya vilevi nchini humo katika opareshi maalum ya kukamata, kuharibu na kuteketeza Pombe na Vinywaji visivyokuwa na ubora, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa ufafanuzi kinachoendelea upande wao.
Kilichoandikwa...
WAZIRI DKT. AKWILAPO AAGIZA MTUMISHI KUSIMAMISHWA KAZI NA KUCHUKULIWA HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA WELEDI NA MISINGI YA UTUMISHI WA UMMA
Dodoma Agosti 12, 2026
Kufuatia malalamiko ya wananchi wanaoishi katika eneo la Bahari Beach Manispaa ya Kinondoni kuhusu kusudio la ujenzi wa kituo cha...
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa ya Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Omary Nondo ameeleza hayo wakati akihutubia katika kongamano la ACT Wazalendo la Maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani lililofanyika katika Ukumbi wa Mrina, Dar es Salaam, Agosti 12, 2026.
Wakili William Maduhu akizungumza leo tarehe 12 Agosti 2026 wakati Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo chini ya Mwenyekiti wake Abdul Nondo inapoadhimisha Siku ya Vijana Duniani kwa kufanya Kongamano katika Ukumbi wa Mrina, Dar es Salaam.
"Uongezekaji wa Malori nchini umekuwa muda mrefu, tangu Mwaka 2014 tuko hapa ITV tunazungumza hili suala mpaka leo, msongamano uko mwingi tangu mzani ukiwa pale Kibaha bado kulikuwa na msongamano, niwape elimu Watanzania pale Bandarini ni Boda," Alphonce Temba - Mwakilishi wa Wananchi.
Video: ITV
Mkaguzi wa Polisi Kata ya Mwaya, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, Mkaguzi wa Polisi (INSP) Masengi Marwa, ametoa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Mwaya kuhusu matumizi sahihi na salama ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA).
Mkaguzi huyo, ambaye pia amebobea...
"Tunapogundua magari yanasababisha usumbufu, tumeanza kuyafungia ving'amuzi. Kwa kuwa tunaanza kwa awamu, tutaanza na daladala zote zitakazobainika kukiuka masharti ya leseni zao."
Hayo yamesemwa na Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini...
KAULI YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, PATROBAS KATAMBI JUU YA MATUKIO MBALIMBALI MITANDAONI NA LA ASKARI NA DEREVA BODABODA LINALOSAMBAA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII,LEO TAREHE 9/8/2026
Ndugu zangu nimeona, nimesikiliza na nimesoma comments;
TUTACHUNGUZA kwa kina na kujua kiini cha tatizo...
Baada ya ndugu wa Butiku kuripoti mazingira ya rushwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere (Kwangwa) walipomfikisha kupata huduma, hospitali yatoa ufafanuzi;
Pia soma; Mwenzetu Warioba yupo ICU - Hospitali ya Kwangwa, Watumishi wanatubambikia bili zenye harufu ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo pamoja na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, kuhakikisha Wakala wa Huduma za Ugani (NAESA) unatekeleza majukumu...
ACT Wazalendo imepokea taarifa ya Serikali kuhusu kuundwa kwa Tume ya Rais ya kuchunguza matukio yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025. Pamoja na kutambua umuhimu wa kuwapo kwa uchunguzi kuhusu matukio hayo, tunasikitishwa na uamuzi wa kuunda Tume ambayo muundo wake...
Baada ya hoja ya Mdau kuhusu taa za kuongozea magari barabarani katika mitaa tofauti Mkoani Katavi kuwa zimeharibika zaidi ya miezi mitatu na kuwa hatarishi kwa watumiaji na vyombo vyao, hatimaye zimerekebishwa.
Kuhusu hoja hiyo Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imesema imekamilisha zoezi...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwa Ofisi yake itatekeleza kikamilifu jukumu la kuisimamia Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.