Recent content by Roving Journalist

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi wafika msibani kutoa pole kwa Familia ya aliyefariki katika Hifadhi ya Ngorongoro

    Maafisa wa Jeshi la Polisi mapema leo wamefika katika msiba wa Sefu Mussa, mkazi wa Matejoo jijini Arusha, aliyefariki dunia baada ya kudaiwa kupewa adhabu na askari watatu wa Hifadhi ya Ngorongoro. Sefu alidaiwa kufariki baada ya yeye na wenzake kupotea njia Aprili 12, 2026, walipokuwa...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ntobi: Waziri wa Maliasili na utalii ajiuzulu kufuatia mauaji ya kijana yaliyotokea Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro

    ACT Wazalendo tunalaani vikali matukio yaliyoota mizizi ya askari wa hifadhi mbalimbali nchini kufanya vitendo vya kinyama kwa raia na wananchi ikiwa ni pamoja na kuwatesa, kuwadhalilisha na kuwaua kikatili. Tukio la Agosti 12, 2026 katika Hifadhi ya Ngorongoro ni uthibitisho wa matukio mengi ya...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Kufuatia Mamlaka ya Kudhibiti Vyakula na Dawa Rwanda (FDA) kuweka zuio la baadhi ya vilevi nchini humo katika opareshi maalum ya kukamata, kuharibu na kuteketeza Pombe na Vinywaji visivyokuwa na ubora, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa ufafanuzi kinachoendelea upande wao. Kilichoandikwa...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Dkt. Akwilapo aagiza Mtumishi kusimamishwa kazi na kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa kukiuka misingi ya utumishi

    WAZIRI DKT. AKWILAPO AAGIZA MTUMISHI KUSIMAMISHWA KAZI NA KUCHUKULIWA HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA WELEDI NA MISINGI YA UTUMISHI WA UMMA Dodoma Agosti 12, 2026 Kufuatia malalamiko ya wananchi wanaoishi katika eneo la Bahari Beach Manispaa ya Kinondoni kuhusu kusudio la ujenzi wa kituo cha...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo: Katiba Mpya wale wanaojifanya Miungu watu katika ofisi za Umma watatuheshimu

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa ya Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Omary Nondo ameeleza hayo wakati akihutubia katika kongamano la ACT Wazalendo la Maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani lililofanyika katika Ukumbi wa Mrina, Dar es Salaam, Agosti 12, 2026.
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Maduhu: Vijana ACT jiulizeni Serikali ya CCM ina nia ya dhati ya kufanya maridhiano?

    Wakili William Maduhu akizungumza leo tarehe 12 Agosti 2026 wakati Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo chini ya Mwenyekiti wake Abdul Nondo inapoadhimisha Siku ya Vijana Duniani kwa kufanya Kongamano katika Ukumbi wa Mrina, Dar es Salaam.
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Alphonce Temba: Kamati ya Kuondoa Malori Dar inaundwa na mtu mwenye 'yard', atamshauri nini RC?

    "Uongezekaji wa Malori nchini umekuwa muda mrefu, tangu Mwaka 2014 tuko hapa ITV tunazungumza hili suala mpaka leo, msongamano uko mwingi tangu mzani ukiwa pale Kibaha bado kulikuwa na msongamano, niwape elimu Watanzania pale Bandarini ni Boda," Alphonce Temba - Mwakilishi wa Wananchi. Video: ITV
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mkaguzi Kata ya Mwaya Mkoani Morogoro atoa mafunzo ya TEHAMA VETA - Mwaya

    Mkaguzi wa Polisi Kata ya Mwaya, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, Mkaguzi wa Polisi (INSP) Masengi Marwa, ametoa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Mwaya kuhusu matumizi sahihi na salama ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA). Mkaguzi huyo, ambaye pia amebobea...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania LATRA: Tumeanza kufunga ving'amuzi vya VTS kufuatilia Daladala zinazokatisha ruti na kuzidisha nauli

    "Tunapogundua magari yanasababisha usumbufu, tumeanza kuyafungia ving'amuzi. Kwa kuwa tunaanza kwa awamu, tutaanza na daladala zote zitakazobainika kukiuka masharti ya leseni zao." Hayo yamesemwa na Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Patrobas Katambi: Tutachunguza clip ya Bodaboda kuvutana na Askari Polisi, haki itatendeka

    KAULI YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, PATROBAS KATAMBI JUU YA MATUKIO MBALIMBALI MITANDAONI NA LA ASKARI NA DEREVA BODABODA LINALOSAMBAA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII,LEO TAREHE 9/8/2026 Ndugu zangu nimeona, nimesikiliza na nimesoma comments; TUTACHUNGUZA kwa kina na kujua kiini cha tatizo...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Hospitali Kwangwa: Ndg. Butiku alihudumiwa kulingana na taratibu, mtumishi aliyedai gharama zaidi nje ya mfumo atachukuliwa hatua

    Baada ya ndugu wa Butiku kuripoti mazingira ya rushwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere (Kwangwa) walipomfikisha kupata huduma, hospitali yatoa ufafanuzi; Pia soma; Mwenzetu Warioba yupo ICU - Hospitali ya Kwangwa, Watumishi wanatubambikia bili zenye harufu ya...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aielekeza TAMISEMI kusimamia huduma za Ugani kwa tija na ufanisi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo pamoja na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, kuhakikisha Wakala wa Huduma za Ugani (NAESA) unatekeleza majukumu...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 ACT: Tunaitaka Serikali kukubali uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu matukio ya Uchaguzi Mkuu wa 2025

    ACT Wazalendo imepokea taarifa ya Serikali kuhusu kuundwa kwa Tume ya Rais ya kuchunguza matukio yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025. Pamoja na kutambua umuhimu wa kuwapo kwa uchunguzi kuhusu matukio hayo, tunasikitishwa na uamuzi wa kuunda Tume ambayo muundo wake...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANROADS yafunga taa mpya za kuongoza magari Mkoani Katavi baada ya zile za awali kuharibika

    Baada ya hoja ya Mdau kuhusu taa za kuongozea magari barabarani katika mitaa tofauti Mkoani Katavi kuwa zimeharibika zaidi ya miezi mitatu na kuwa hatarishi kwa watumiaji na vyombo vyao, hatimaye zimerekebishwa. Kuhusu hoja hiyo Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imesema imekamilisha zoezi...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe ahaidi TAMISEMI kutekeleza kikamilifu jukumu la usimamizi wa DART

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwa Ofisi yake itatekeleza kikamilifu jukumu la kuisimamia Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART)...
Back
Top Bottom