Kama baba itabidi nipambane nipate hela ya ada kijana arudi chuo.
Ila mama itabidi wakaongeze mtoto mwingine na kibenten chake lakini akiwa haishi kwangu.
Yote ni migogoro lakini la bi mkubwa kugawa papuchi hadi anatiwa mimba ni mkubwa kuliko yote huyo hana chake aende tu.
[QU
Ulimkuta bikira? Kati ya tattoo na kumkuta sio bikira kipi bora?
Umekuta used machine unashangaa tattoo
Wewe oa tu usijali hicho ki love sign pretend ni kwa ajili yako.
OTE="hiden, post: 29733283, member: 328175"]Wakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo...
Mwanzoni kabisa walikuwa wanaita channel 0 kwasababu ya ile channel ya muziki dstv ilikuwa na nembo 0 sasa baadae tigo nao wakaweka nembo kama ya hiyo channel na zaidi sana wakaleta slogan ya kutwanga kote kote hapo ndipo iliposhika kasi. Nadhani wajuzi wanajua zaidi.
Dada Joyce swali moja kwako
Dodoma hospital iko nje ya nchi?
Kama kumalizwa si ilikuwa rahisi zaidi pale Dodoma.
Watanzania tuache kuwa na narrow minds tufikiri kwa mapana.
Napita tu.
Bado hujachelewa kaka. Ushauri wangu kwako usiogope kitakachotokea nenda ongea na hao walezi waeleze unachotaka kufanya. Angalizo.
Usifikirie kumchukua ila waambie lengo lako ni kumpatia elimu I hope watakuelewa tu.
Huu ndio wakati unahitajika zaidi.
KKKT ilikuwa tegemeo la Edward na upinzani kwa ujumla na itaendelea kuwa hivyo hadi itakapopata kiongozi wa kuhubiri injili kama ilivyo tafsiri na lengo la kanisa na si kuhubiri siasa kama ilivyo sasa si kanisa la kiinjili tena siasa imetawala humo ndani.
Wachungaji hawana wito wa kuihubiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.