makubwa mm mchepuko alimfanyia mume wangu akija hm haifany kaz akienda kwa mchepuko kama kawa cjui kaponea wap mana baada ya hapo miez sita na kuendelea cmjui mume ndan kajihangaikia mwenyew kwa kuhofu nitachepuka lakin nilivumilia na kumwachia mungu
yote ya yote uza tafuta mahala pengine ujenge usimwache mkeo ni nani mwenye uhakika kua mahusiano yanaendelea?wao ndo wenye ukwel lakin ipo cku mungu ataudhihirisha
kiukwel ss kina mama tunajisahau mno pamoja na majukumu tuliyonayo hawa wasaidiz wa nyumban wanahtaj kusaidiwa (cpend kutumia neno h/gel) cku ambayo una nafas kama mama msaidie pika,fanya usafi tuwape moyo binafs najtahd xana kuamka alfajir kuwandaa wanangu. na kuwapeleka shule na mume hajui ht...
anachosema xfactor ni sahihi ww unaona unaonewa lakn hauko sahihi hata kdogo kutunza mtoto ni gharama sana kwa kipindi chote cha miaka minne hukuhudumia isitoshe ulikua unakuja dar kama alikua hapatikani je hukua na namba ya mamake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.