Ahsante mkuu kwa ushauri wako...inabidi ni come up na choice moja coz kidogo naona kuna uwezekano mkubwa sana nitapata first choic nitakayoiweka.. ahsante tena..
Tukumbuke pia ubora unaonyeshwa na consistency... Msinielewe vibaya ila shule ya kata iliyoibukia jxt one yr ikawa kwenye twenty bora hauwezi ukalinganisha na ilboru au mzumbe ambao wamekuwa kwenye nafasi hizo on regular basis. Ktk kuunga mkono walichosema baadji ya wakuu hapo juu kwa mfano dogo...
Wakuu ahsanteni sana kwa ushauri. Mi ndiye mtoa mada....Nilikuwa jkt.. Nashkuru Mungu tokeo limetoka vizuri. nina a a a. Sasa wakuu huku mtaani kila nayekutana nae ananiambia Petroli na kwa kweli hyo kozi mi naogopa pengina ajira zikazingua mbeleni. Naombeni plz mwenye info anijuze... Naona ni...
Salam wanajamvi.
Mi ni muhitim wa kidato cha sita mwaka huu. Nimepangiwa jkt MGAMBO TANGA. Nafikiria kutoenda coz Kuna ishu nafanya inayonipatia kipato kinachoniwezesha kuisaidia familia Yangu na kujiandaa na maisha ya chuo. Ila kabla ya kufanya uamuzi nimeona nije kuwaomba wakubwa zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.