Wapinzani wanachangia kwa namna tofauti na CCM, Wanakua na hoja tofauti kila wanaposimama ila Wabunge CCM wanaunga Mkono kila hoja na Mawazo yao yanafanana ingawa si wote, kwa mtazamo wangu.
We need to educate our people, 2019 jamani bado imani hizi zipo!!
Watanzania tuamke, Kila Binadamu ana haki ya Kuishi,
So sad for what's going on.. Na huwa inatokea kipindi karibia na uchaguzi. Polisi wasipotimiza wajibu wao tuwahoji, we must play our part as citizens.. :(
Watu wanajua kutunga..
Kwanza Huyu siyo Wolper ..
Anaitwa Zena au Zejully ni Mama wa mtoto moja aliyezaa na bwana wa Kichaga..na huyu ni bwana wake mpya wana miezi sasa..
Binafsi na urafiki na Wolper pamoja na Zena
..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.