Recent content by Rorscharch

  1. Rorscharch

    Hivi Waafrika hatuna akili?

    Angebaki Afrika angegundua hata hiyo bulb?
  2. Rorscharch

    Siasa za 2015, kurudi nyuma, ndizo zilikuwa siasa za hoja, na si hizi za kuitana chawa na nyumbu. Hizi ni za watu ambao hawajui siasa na uongozi!

    Kutumia matusi sio umefirisika, bali umekataa kutumia seli zako za Ubongo kutafakari na kujibizana na mfugo wa mfumo (ni sawa na kumfundisha mbwa kutumia choo)
  3. Rorscharch

    Siasa za 2015, kurudi nyuma, ndizo zilikuwa siasa za hoja, na si hizi za kuitana chawa na nyumbu. Hizi ni za watu ambao hawajui siasa na uongozi!

    Kama tabia zako na hulka yako inafanana na hiyo hali ya "UCHAWA" kwanini usiitwe hivyo? Zaidi ya hapo naweza kusema tu kua ...... Huwezi kujibizana kwa hoja na mtu mwenye vinasaba vya uchawa maana hata utumie hoja yeye hawezi maana kuamua kukujibu kwa hoja inabidi avue vazi lake la uchawa (kitu...
  4. Rorscharch

    Ninapendekeza Kupanua Mamlaka ya Mikoa: Njia ya Kugawana Keki ya Taifa Bila Kuvunja Sahani ya Umoja

    Kuna mawazo ambayo hayazaliwi kwa makelele ya mikutano, bali kwa ukimya wa tafakuri ndefu. Mimi nimefikia hatua ya kuamini kuwa moja ya matatizo makubwa ya Tanzania si ukosefu wa rasilimali, wala si ukosefu wa watu wenye nia njema; tatizo letu ni mahali tulipoamua kukusanya mamlaka...
  5. Rorscharch

    Nitaisifia ICC pale itakapoendesha kesi ya Wakoloni enzi za utumwa, endapo Watumwa wa Afrika hawatapata haki yao basi itakuwa ni Mahakama ya kinafiki

    Hii kesi inabidi ufufue kwanza Machifu wa makabila kadhaa ya Kitanganyika na Wapemba (Sultan), maana hawa ndio waliokuwa wanauza hao binadamu
  6. Rorscharch

    Kuna haja ya kuendelea kulinda Amani ya Taifa la Tanzania, Matatizo yanayotokea ni mkono unateleza bahati mbaya na kupelekea chupa ya Taifa kupasuka

    Kuteleza kwa Bahati mbaya? Hivi unaelewa kwamba wakati unaandika hivi Kuna watu bado wanawindwa watekwe
  7. Rorscharch

    Kwa kujua Kwangu Nyota na Ulozi wa Mpira niliposema Kapombe asiwe Nahodha kwani ana Nuksi sikueleweka na kuonekana namchafua na namchukia

    Mnaofuatilia kandanda msimu huu mna Moyo; yaani Mimi nikisikia mada za mpira napata kiungulia
  8. Rorscharch

    PostGE2025 Uchaguzi umepita, tujikite kwenye hoja za kusaidia wananchi

    It's far from done, the powers that be must offer a sacrificial lamb to sate the masses; Tanganyikans would probably quell when someone is offered over to the ICC
  9. Rorscharch

    Ni vema viongozi wa dini wakachukua hizi tahadhari kuilinda Tanzania yetu, na katika kipindi hiki mambo haya yafanyike ili kupunguza matishio ya nje

    Hamna majibizano, Wakatoliki wametoa waraka/ushauri nini kifanyike na wamerudi katika shughuli zao za kila siku za kuchunga kondoo wa bwana; upande wa pili wa hii sarafu ndio Kuna changamoto
  10. Rorscharch

    Unawezaje kuishi na mwanaume ambaye anakunyamazia bila sababu?

    Hilo ninalo, kama sikosei kwa lugha ya kitaalam inaitwa avoidant attachment personality; yaani tunapenda kujitosheleza kihisia maana Kuna hofu ya kuumizwa tukijiachia kimapenzi Huyo jamaa Yako kama hana wanawake wengine unaweza kushangaa hata mkianza kuishi pamoja atakuwa hivyo hivyo (akienda...
  11. Rorscharch

    Unawezaje kuishi na mwanaume ambaye anakunyamazia bila sababu?

    Hapo najua lazima Kuna mambo kutoka upande wako hujayasema maana ni kasumba kubwa kwa wanawake kukataa kuwajibika kwa mapungufu yenu Usikute unapiga mizinga mno mpaka anaona anachunwa (hulka ya kususia wanaume matatizo na mahitaji yenu punde tu mkiona Kuna dalili ya Mahusiano) Pia Kuna...
  12. Rorscharch

    Serikali yoyote duniani iliyowekwa na wananchi huwa haitishiwi kwa matamko na maneno ya michambo mitandanoni

    Makelele meeengi mnapiga lakini hoja za waraka wala sioni mkizigusia, hivi Kuna kitu chochote kilichoandikwa kwenye waraka kinachoonesha wanataka mfumo Kristo?
  13. Rorscharch

    Vijana hatuandamani

    Nani kakwambia kuandamana lazima amani ivunjike?
Back
Top Bottom