Kutumia matusi sio umefirisika, bali umekataa kutumia seli zako za Ubongo kutafakari na kujibizana na mfugo wa mfumo (ni sawa na kumfundisha mbwa kutumia choo)
Kama tabia zako na hulka yako inafanana na hiyo hali ya "UCHAWA" kwanini usiitwe hivyo?
Zaidi ya hapo naweza kusema tu kua ...... Huwezi kujibizana kwa hoja na mtu mwenye vinasaba vya uchawa maana hata utumie hoja yeye hawezi maana kuamua kukujibu kwa hoja inabidi avue vazi lake la uchawa (kitu...
Kuna mawazo ambayo hayazaliwi kwa makelele ya mikutano, bali kwa ukimya wa tafakuri ndefu. Mimi nimefikia hatua ya kuamini kuwa moja ya matatizo makubwa ya Tanzania si ukosefu wa rasilimali, wala si ukosefu wa watu wenye nia njema; tatizo letu ni mahali tulipoamua kukusanya mamlaka...
It's far from done, the powers that be must offer a sacrificial lamb to sate the masses; Tanganyikans would probably quell when someone is offered over to the ICC
Hamna majibizano, Wakatoliki wametoa waraka/ushauri nini kifanyike na wamerudi katika shughuli zao za kila siku za kuchunga kondoo wa bwana; upande wa pili wa hii sarafu ndio Kuna changamoto
Hilo ninalo, kama sikosei kwa lugha ya kitaalam inaitwa avoidant attachment personality; yaani tunapenda kujitosheleza kihisia maana Kuna hofu ya kuumizwa tukijiachia kimapenzi
Huyo jamaa Yako kama hana wanawake wengine unaweza kushangaa hata mkianza kuishi pamoja atakuwa hivyo hivyo (akienda...
Hapo najua lazima Kuna mambo kutoka upande wako hujayasema maana ni kasumba kubwa kwa wanawake kukataa kuwajibika kwa mapungufu yenu
Usikute unapiga mizinga mno mpaka anaona anachunwa (hulka ya kususia wanaume matatizo na mahitaji yenu punde tu mkiona Kuna dalili ya Mahusiano)
Pia Kuna...
Makelele meeengi mnapiga lakini hoja za waraka wala sioni mkizigusia, hivi Kuna kitu chochote kilichoandikwa kwenye waraka kinachoonesha wanataka mfumo Kristo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.