There is an invisible line in human life, unwritten, unspoken, yet deeply obeyed. On one side of it, we become “we.” On the other side, we dissolve back into “I.”
Inside the church and inside the mosque we build together.
We respond to calls as one body. We contribute without hesitation. We...
Kuna mstari usioonekana unaokatiza maisha yetu—mstari mwembamba sana, lakini wenye nguvu kuliko tunavyodhani. Ndani yake, sisi ni kitu kimoja. Nje yake, tunasambaratika bila kelele.
Ndani ya kanisa, ndani ya msikiti—tunajenga pamoja.
Wito ukitolewa, watu wanaitikia. Michango inapangwa, kila...
Kutumia matusi sio umefirisika, bali umekataa kutumia seli zako za Ubongo kutafakari na kujibizana na mfugo wa mfumo (ni sawa na kumfundisha mbwa kutumia choo)
Kama tabia zako na hulka yako inafanana na hiyo hali ya "UCHAWA" kwanini usiitwe hivyo?
Zaidi ya hapo naweza kusema tu kua ...... Huwezi kujibizana kwa hoja na mtu mwenye vinasaba vya uchawa maana hata utumie hoja yeye hawezi maana kuamua kukujibu kwa hoja inabidi avue vazi lake la uchawa (kitu...
Kuna mawazo ambayo hayazaliwi kwa makelele ya mikutano, bali kwa ukimya wa tafakuri ndefu. Mimi nimefikia hatua ya kuamini kuwa moja ya matatizo makubwa ya Tanzania si ukosefu wa rasilimali, wala si ukosefu wa watu wenye nia njema; tatizo letu ni mahali tulipoamua kukusanya mamlaka...
It's far from done, the powers that be must offer a sacrificial lamb to sate the masses; Tanganyikans would probably quell when someone is offered over to the ICC
Hamna majibizano, Wakatoliki wametoa waraka/ushauri nini kifanyike na wamerudi katika shughuli zao za kila siku za kuchunga kondoo wa bwana; upande wa pili wa hii sarafu ndio Kuna changamoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.