Kipimo cha akili ndogo za Waafrica, ni hiki. Anatokea mwarabu, msomali, mhindi, mzungu au mchina fulani, anahamia kijijini ndani ndani tu huko. Baada ya miaka mitatu, minne, mitano, anakusanya utajiri wa kutosha hapo hapo kijijini, anahamia mjini mkoani, labda Mwanza, Dsm Arusha nk. Baada ya miaka mitatu minne, mitano,anahamia London, au New York, au Brisbane na kuanzisha mpaka makampuni. Mwafrica wa kijijini bado yuko hapo hapo kijini na pombe zake na hirizi zake na jando na unyago vyake. Hili nimelifanyia utafiti. Akili zetu zina kasoro na upungufu mkubwa.