Bikra Maria.....ndo kielelezo cha usafi hata Mungu anajua umuhimu wa bikra ndomaana akachagua tumbo la mwanamke bikra Maria ili aje duniani kutuokoa na dhambi...
Kama mkeo sio bikra iyo ni taasisi au kampuni na sio ndoa ndoa ni safi kuanzia mwilini mpaka mwilini ukidate na ginjaginja huwezi...
Zingatia aya kama huna ela
..Show isewe ya kupepea kama ndizi za Zanzibar
...mueshimu mkeo kama huna ela
...kuwa smart muda wote yaani nadhifu
...make sure huna kibamia ngoma nagusa gorori
...kama mnawatoto wekeza nguvu zako kulea madogo na kuwafundisha mambo ya shule
...Usimpangie ratiba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.