Na wengine mna comment shits hamjui tu hata nyie mmefanyiwa hivyo...imagine wewe ungekua na tatizo hilo sindo mnasemaga mama zenu wazembe
Hayo ni mambo ya asili
Na kama wewe unaona mambo ya asili hayana maana ...mkeo akijifungua achieni kitovu kidondokee kwa babu halafu ulete mrejesho huku
Zingatia vyakula bora
Sababu yeye bado mtoto anatakiwa apate lishe nzuri itamsaidia sana
Mtengenezeeni uji wa lishe hakikisheni mmeweka mbegu za maboga halafu mu muwekee na peanut butter
Matunda...Hakikisheni anakula ndizi mbivu walau1 kila siku ichayo kwa mungu
Na matikiti maji pia atafune na...
Pole sana jamani mtoto atapona
Nyie mnaotoa majibu ya hovyo kama hamna cha kumsaidia mwenzenu bora tu mkae kimya
Kama mzazi inauma sana kuona mwanao hasimamishi....
Hiyo tiba nilishausikia ila sina uhakika nayo pia zingatia chakula bora asile ma chips na haya makuku ya kisasa
N.B wanaouliza...
Ukiona mtu analamikia serikali ujue hyo ni mvivu...fanya kazi uone kama utakua na huo muda wa kuotoa lawama tafuta hela kwa jasho utapata yani nikiona mwanaume analalmikia serikali daah namchukulia tofauti san
Hakuna binadamu alokamulika..afadhali yake yeye hata ana hyo miguu ya kusimamia wengine hawana kabisa miguu..msipende sana kukosoa kazi za mungu hakuna aliyekamilika na kabla hujafa hujaumbika
Hospital za serikali unaweza fanyiwa bure lakini pia unaweza enda hospital nyingine ni kuanzia e20 mpaka laki hapo makubaliano yenu tu doctor anakuja kukufata ulipo....kwenye kupona zingatia hali ya hewa msimu wa mvua utapona mapema kuliko wa joto na inabid iwe likizo maana haushauriwi kukaa na...
Cheee kumi unaona ni wengi?mimi nikikutajia idadi wanapanda buffalo ya arusha wanajaa na wengine wanashikilia bomba...unaambiwa ukitaka kumla bata usimchunguze sasa we kuulizana huko ushatembea na wangapi ina huuu mi wala nisingekujibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.