Recent content by ronis

  1. ronis

    Shamba linauzwa Njombe Lupembe

    Zile 650 walisha zinunua. Hilo in eneo jingine.
  2. ronis

    Shamba linauzwa Njombe Lupembe

    Mpunga hapana mahindi,miti ya mbao na nguzo na matunda kama nanasi na parachichi n.k
  3. ronis

    Shamba linauzwa Njombe Lupembe

    Shamba kubwa linauzwa lipo Lupembe Njombe Tanzania linaukubwa wa ekari 1000 bei (150,000) laki moja na nusu kwa ekari. Eneo linakubalika kwa matumizi ya kilimo cha aina yoyote na ni tambalale. mawasiliano 0757003302.
  4. ronis

    MARK II GRANDE -1980cc ipoje?

    Iko poa na spea zpo kibao.
  5. ronis

    Watch "Mwenyekiti aibuka mkutanoni DarMPYA kujibu tuhuma…" on YouTube

    Mwenyekiti aibuka mkutanoni DarMPYA kujibu tuhuma…:
  6. ronis

    Watch "Mwenyekiti aibuka mkutanoni DarMPYA kujibu tuhuma…"

    Nimemkubari sana RC Makonda kwa maamuzi ya busara juu ya tuhuma za m/kiti
  7. ronis

    Kutoka IKULU: Ziara ya Rais wa Zambia Mhe. Edgar Lungu nchini Tanzania

    Walichoongea Rais Magufuli na Rais Lungu wa Zambi…:
  8. ronis

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Wamefilisika, wanapenda kuiga kwa tigo wakati uwezo wao mdogo ndo maana wameondoa picha kwenye fb ya bure walionjesha kwa muda mfupi walipo piga mahesabu wakakuta wanapata hasara wakaamua kutoa picha yabakie maandishi. Kama kuchati kwa maandishi hawajui kuwa tunaweza hata kutumiana sms za...
  9. ronis

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Yuko vzr na anamtegemea Mungu kwa kila hatua na kila jambo na kwa muda wote. Mchawi ashindwe kwa jina la Yesu. RC Makonda keeep it up.
  10. ronis

    Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

    Jaribu kuwa msafi mda wote na ikiwezekana mwachishe kunyonya mpe maziwa ya ng'ombe au ya dukani yale ya kopo mtoto atakuwa na afya njema kabisa ukishindwa mwone daktari yeyote atakupa ushauri. Pole sana dadangu.
  11. ronis

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Niko makambako nilienda voda shop mwezi wa pili kuomba til ya m pesa nilipeleka vielelezo vyote walivyo niambia mpaka sasa sijapata hiyo til na kila nikienda wananiambia subili tukupigia simu na kinacho niuma zaidi ni hela niliyokatia leseni ambayo mwaka unaisha na leseni inaisha muda wake til...
  12. ronis

    Shamba linauzwa Njombe Lupembe

    Ni kweli mkuu kuna milima na mabonde eneo lipo sehemu nzuri na lina kubali kilimo cha zao lolote bila kutumia mbolea mimi niliwekea mfano wa hayo mazao mfano waliko nunua wapakista wao wamepanda matunda maparachichi. Ni eneo lenye lutuba nzuri sana liko mbele ya kiwanda cha muviulu.
  13. ronis

    Shamba linauzwa Njombe Lupembe

    Unatakiwa uwe mwelewa kama mada haikuhusu unatakiwa utulie sio kuchangia jambo usilo lifahamu ndugu kwako halina umhimu kwa mwingine eneo linaumuhimu sana.
Back
Top Bottom