Ni whatsapp hiyo hiyo ila hii inakuwezesha kutumia zaidi ya namba moja kwa whatsapp, ila ndio siyo salama kama ilivyonikuta, nakushauri usithubutu kuzitumia mkuu
Mkuu acha kabisa kujiunga na bundle la tsh 2000 mara mbili kwa siku mbili tu na bado uunge kwa vifurushi vya mda wa maongezi.
Ila nahisi nisinge gundua mapema ingenifilisi kabisa
Habari wakuu, nimeanza kutumia whatsfapp siku mbili au tatu hivi zimepita, jana nilishangaa bundle langu la wiki ilimekata ghafla nikahisi labda nilizisha matumizi.
Jana usiku nikaunga tena bundle la 1gb la wiki, sikutumia simu nikalala, asubuhi nacheck salio nakuta na salio la 600mb...
Nadhani umeona screen shots za torrent hapo juu, kumbuka uwezi kulinganisha speed ya live download na torrent ambayo speed yake unapata kutegemeana na seed's
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.