Recent content by romarry

  1. R

    Jamiiforums android

    Kwangu inapiga mzigo fresh tu ndio naitumia hapa
  2. R

    Bernard Membe: Ndoto zake za urais zimejaa Fitna, Visasi na Mbeleko

    Acheni kumchafua rais ajaye nyie team lowassa
  3. R

    Mabomu yanarushwa angani Tegeta/Mbweni-Dar es Salaam

    Hamna kitu kama hicho mkuu, niko mbezi beach kwa komba karibu na lugalo kabisa hamna mlipuko hata mmoja uliosikika
  4. R

    ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

    mkuuu mkutano unafanyika kawe sehemu gani ili nami nijumuike
  5. R

    Sterring hauawi; OGWHATSAPP INAPATIKA TENA

    Ina option ya whatsapp call?
  6. R

    WhatsaFapp ni hatari kwa data zako

    Tuwe makini sana mkuu
  7. R

    WhatsaFapp ni hatari kwa data zako

    Ni whatsapp hiyo hiyo ila hii inakuwezesha kutumia zaidi ya namba moja kwa whatsapp, ila ndio siyo salama kama ilivyonikuta, nakushauri usithubutu kuzitumia mkuu
  8. R

    WhatsaFapp ni hatari kwa data zako

    Kama unajua OGwhatsapp hii ndio mbadala wake
  9. R

    WhatsaFapp ni hatari kwa data zako

    Mkuu acha kabisa kujiunga na bundle la tsh 2000 mara mbili kwa siku mbili tu na bado uunge kwa vifurushi vya mda wa maongezi. Ila nahisi nisinge gundua mapema ingenifilisi kabisa
  10. R

    WhatsaFapp ni hatari kwa data zako

    Ni kweli kabisa mkuu, ila nahisi hii kitu si salama kwa privacy zetu kabisa
  11. R

    WhatsaFapp ni hatari kwa data zako

    Habari wakuu, nimeanza kutumia whatsfapp siku mbili au tatu hivi zimepita, jana nilishangaa bundle langu la wiki ilimekata ghafla nikahisi labda nilizisha matumizi. Jana usiku nikaunga tena bundle la 1gb la wiki, sikutumia simu nikalala, asubuhi nacheck salio nakuta na salio la 600mb...
  12. R

    Cracked WhatsApp

    Mkuu jana imetoka whatsfapp version 2.1.1 iko stable sana
  13. R

    OGwhatsapp ndio basi tena?

    Imebuma kimoja, kwangu juzi ndio imebuma.
  14. R

    Speed ya internet ya Airtel ni hatari!!

    Ahsante mkuu kumpa ufafanuzi mzuri.
  15. R

    Speed ya internet ya Airtel ni hatari!!

    Nadhani umeona screen shots za torrent hapo juu, kumbuka uwezi kulinganisha speed ya live download na torrent ambayo speed yake unapata kutegemeana na seed's
Back
Top Bottom