Sasa hivi nipo tabata shule foleni ipo hadi tabata baracuda. Mataa yamekuwa kero kwa kweli tarura na tanroad waliangalie ili swala, barabra ni nyembamba sana
Mlolongo wewe ni member wa muda mrefu kidogo mbona unafukua newz ambazo azikusaidii chochote, naomba tembelea jukwaa la mahusiano kuna mada nyingi zitakazo kurefresh
wengine sisi ni wafanya bihashara namba zetu zipo tra wanaweza kufanya upelelezi ukashangaa unaletewa mikodi ya ajabu kisa ulichangia chadema kupitia bank au simu pesa. watu wanapenda kuchangia ila hofu ni kubwa sana mkuu kwa tulio mikoana hata waliopo dsm
Sent using Jamii Forums mobile app
utaratibu waliotumia mizani ya visiga ni mzuri sana gari inapimwa ikiwa bado aijafika kwenye mizani inamsahidia dereva kujua anastahili kuingia kwenda kupima au ananyoosha. hata kwenye makutano ya reli na barabara ya magari TRL inatakiwa waweke taa itakayo julisha magari treni inakaribia hayo...
wewe jamaa ni pimbi sana kutengeneza kile kijitabu chenye vikaratasi vichache vile unasema kuna unyeti na gharama sasa wale wanaotengeneza bomu la nyukilia waseme nini. ebu fikiria upya rushwa na urasimu unatumika muda gani. alafu kukusahidia tu wabongo wachache ndio wanaojua humuhimu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.