Habarini za muda huu
Katika mapokezi ya ndege mpya leo nimeshtuka kidogo kuona imepigwa chata ya HAPA KAZI TU, kama tunavyojua hiyo ni slogan ya CCM. Sawa ni chama tawala lakini je, Ni sahihi Mali ya umma kuandikwa slogan ya Chama kama hapa kazi tu, Au people’s power ya CHADEMA ikitokea...
Ungejia impact yake usingeongea hili ulaya hata akiandamana Mtu mmoja anasikilizwa na kutangazwa na vyombo vya habari, vya vya habari vya ulaya ndo vya dunia.
Hizo pesa mnazo tumia kurudia chaguzi zinatosha kumalizia huu mchakato wa katiba mpya, msisubiri mpaka iwe too late, by 26 April it will be too late mshaurini.
Msishangae huu mswada ukajapita bungeni. Siasa mchezo mchafu, yawezekana ni technique ya kuja kuzima maandamano ya tar 26 April. Maana sasa kama tume imeshaundwa kufuatilia hizo sababu za maandamano why muandamane sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.