Rais Magufuli anzisha mchakato wa katiba mpya

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Tumpe rais wetu ushairi ambao hapewi na inner cycle yake.

umuhimu wa katiba mpya

1. taasisi kuwa huru na kutoingiliwa kwa kupewa mamlaka kikatiba mfano, polisi,jeshi,takukuru,bunge, mahakama, tume ya uchaguzi nk

2. Kupunguza nguvu za rais hasa katika teuzi. Rais kapewa kazi nyingi sana hivo katiba itoe mamlaka viongozi wa taasis na mashirika pamoja na mawaziri wawe endorsed na bunge.

3. kuweka uwezo wa kumshtaki raisi akiwa katika madaraka au akistaafu kwa vitendo vyake mfano km raisi atavunja katiba kuwe na kipengele cha kufikishwa mahakamani

4. kuwe na freedom of speech yani kwa MTU binafsi,magazeti,mitandao,TV, nk

5. sheria ya vyama vya siasa kurekebishwa ili iendane na vyama vingi.


vipo vingi sana.

Tuñamuomba rais wetu mpendwa aipe mchakato wa katiba uanze kwani ni hitajio LA wananchi.
 
Tumpe rais wetu ushairi ambao hapewi na inner cycle yake.

umuhimu wa katiba mpya

1. taasisi kuwa huru na kutoingiliwa kwa kupewa mamlaka kikatiba mfano, polisi,jeshi,takukuru,bunge, mahakama, tume ya uchaguzi nk

2. Kupunguza nguvu za rais hasa katika teuzi. Rais kapewa kazi nyingi sana hivo katiba itoe mamlaka viongozi wa taasis na mashirika pamoja na mawaziri wawe endorsed na bunge.

3. kuweka uwezo wa kumshtaki raisi akiwa katika madaraka au akistaafu kwa vitendo vyake mfano km raisi atavunja katiba kuwe na kipengele cha kufikishwa mahakamani

4. kuwe na freedom of speech yani kwa MTU binafsi,magazeti,mitandao,TV, nk

5. sheria ya vyama vya siasa kurekebishwa ili iendane na vyama vingi.


vipo vingi sana.

Tuñamuomba rais wetu mpendwa aipe mchakato wa katiba uanze kwani ni hitajio LA wananchi.
Katiba mpya ni ufujaji wa pesa za walipa kodi watanzania tunataka maendeleo sio katiba hiyo pesa si bora iingie kwenye standard gauge sio kunufaisha wanasiasa kwenda kula pesa dodoma
 
Tumpe rais wetu ushairi ambao hapewi na inner cycle yake.

umuhimu wa katiba mpya

1. taasisi kuwa huru na kutoingiliwa kwa kupewa mamlaka kikatiba mfano, polisi,jeshi,takukuru,bunge, mahakama, tume ya uchaguzi nk

2. Kupunguza nguvu za rais hasa katika teuzi. Rais kapewa kazi nyingi sana hivo katiba itoe mamlaka viongozi wa taasis na mashirika pamoja na mawaziri wawe endorsed na bunge.

3. kuweka uwezo wa kumshtaki raisi akiwa katika madaraka au akistaafu kwa vitendo vyake mfano km raisi atavunja katiba kuwe na kipengele cha kufikishwa mahakamani

4. kuwe na freedom of speech yani kwa MTU binafsi,magazeti,mitandao,TV, nk

5. sheria ya vyama vya siasa kurekebishwa ili iendane na vyama vingi.


vipo vingi sana.

Tuñamuomba rais wetu mpendwa aipe mchakato wa katiba uanze kwani ni hitajio LA wananchi.
Hiyo namba 3 ndio inamfanya katiba mpya isiwe kipao mbele kwake kama mtatoa maoni yenu na kuitoa hiyo namba tatu hakika mtapata Katiba mpya soon as possible.
 
Hiyo namba 3 ndio inamfanya katiba mpya isiwe kipao mbele kwake kama mtatoa maoni yenu na kuitoa hiyo namba tatu hakika mtapata Katiba mpya soon as possible.
Mkuu nikiangalia kwa huyu wa sasa hayo yote aliyoleta mtoa mada, jamaa hawezi kukubaliana nayo kama nia yetu kwenye katiba mpya yawekwe
 
Mkuu nikiangalia kwa huyu wa sasa hayo yote aliyoleta mtoa mada, jamaa hawezi kukubaliana nayo kama nia yetu kwenye katiba mpya yawekwe
Ndio maan nikasema namba tatu isiwepo ndio ataweza kukubali kwa sababu ikiwepo hiyo namba tatu basi itatumika kwa aliyoyafanya kwenye hizo namba zilizobaki maana sidhani kama atabaki salama.
 
Labda mwishoni mwa utawala wake siyo sasa,anaenjoy madaraka makubwa anayopewa na jinsi anavyoteua watuwake anavyojisikia Leo atakubali kupunguziwa hayo. Katiba itapatikana kwa kutumia nguvu kubwa sana maana ubabe unaotumika leo hii sio wakawaida. Kunawatu wanapenda sifa na kunyenyekewa hatari na wakikosa hill bora wasiwe viongozi kwani hawana karama ya uongozi wala hawana ushawishi kwa wanaowaongoza!!
 
Katiba mpya ni ufujaji wa pesa za walipa kodi watanzania tunataka maendeleo sio katiba hiyo pesa si bora iingie kwenye standard gauge sio kunufaisha wanasiasa kwenda kula pesa dodoma
Kwahiyo kutumia bilioni 18 kwa chaguzi za kipumbavu ndo unaona ni matumizi mazuri ya fedha za umma?
 
Demokrasia sio msingi wa maendeleo hata kidogo. Kazi ndio msingi wa maendeleo. Achaneni na propaganda za wamagharibi.
 
Katiba mpya ni ufujaji wa pesa za walipa kodi watanzania tunataka maendeleo sio katiba hiyo pesa si bora iingie kwenye standard gauge sio kunufaisha wanasiasa kwenda kula pesa dodoma

Hizo pesa mnazo tumia kurudia chaguzi zinatosha kumalizia huu mchakato wa katiba mpya, msisubiri mpaka iwe too late, by 26 April it will be too late mshaurini.
 
Hizo pesa mnazo tumia kurudia chaguzi zinatosha kumalizia huu mchakato wa katiba mpya, msisubiri mpaka iwe too late, by 26 April it will be too late mshaurini.
Mkuu hiyo April 26 naisubiri kwa hamu uone nguvu ya tuliyompigia kura ilivyo kubwa
 
Hizo pesa mnazo tumia kurudia chaguzi zinatosha kumalizia huu mchakato wa katiba mpya, msisubiri mpaka iwe too late, by 26 April it will be too late mshaurini.
nitajie nchi yenye vyombo huru vya uchaguz
 
Rais wetu anajidanganya sana kufikir watanzania siku moja wanaweza kutawaliwa kama wanavyotawaliwa wanyarwanda....Rwanda yenyewe kama kiwalani....
 
Demokrasia sio msingi wa maendeleo hata kidogo. Kazi ndio msingi wa maendeleo. Achaneni na propaganda za wamagharibi.
Utafanyeje kazi bila ya kuwa na uongozi mzuri wenye demokrasia kila siku polepole anafanya mikutano ya siasa ya nje na ya ndani lkn watu wavyama vingine wakitaka kufanya hiyo mikutano pilisi wanaiingilia na kuuwa watu
 
Back
Top Bottom