Huu
Huu ni uongo, mkeka wa milioni 45 wanakupaje cashout 2.5M afu imebaki timu moja umeweka over 0.5 ambayo hata odds ukiwa kubwa sana haizidi 1.5
Au kuna typing error?
Wakuu katika upambanaji naombeni ushauri, nataka kurudi kupambana na muhindi. Ni kampuni gani kutoa pesa haizungui yaani wapo instant kutoa pesa nyingi hata 5M kwa m pesa tigo pesa etc...
Nilikua natumia meridianbet yaani hata 5M unaivuta mpesa haraka tu ila isiwe usiku sana au asubuhi sana...
Mkuu jaribu kumpeleka kwa specialist wamcheki kama ana ukungu kifuani, Kuna watoto wanazaliwa na ukungu kifuani, dawa na operation wanayatoa na Haina complication sana akiwa mdogo
Wangu alikutwa na tatizo Hilo baada ya kuhangaika sana
Unapatikana wapi?
Unafanya delivery?
Mfumo wa malipo ukoje?
Bei inapungua kwa wholesale?
Toeni taarifa kamili sio kila mtu anapenda kujaza contacts kwenye simu....
Gono Hilo mkuu ila usijali hio no ajali kazini
Nenda hospitali uchome sindano watakupa na vidonge antibiotics siku tano
Au nunua dawa ya azuma vile 500 mg, meza vyote vitatu kwa pamoja, Kama ni vile 250mg meza vyote sita kwa pamoja, usimmeze ukiwa kazini maana lazima utaharisha itakuletea...
Dah sijui tunaelekea wapi, hizi huduma zilipaswa kutupa unafuu wananchi kufanya miamala bila usumbufu lakini imekua ujambazi hasa hasa.
Niliwahi kuhamisha laki mbili kutoka Benki kwenda mpesa nikakatwa 11,000/= hapo bado sijakutana na Makato ya mpesa, nikajikuta nakatwa karibu 16000/= kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.