Recent content by Rolla Patrick

  1. R

    Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

    Huu Huu ni uongo, mkeka wa milioni 45 wanakupaje cashout 2.5M afu imebaki timu moja umeweka over 0.5 ambayo hata odds ukiwa kubwa sana haizidi 1.5 Au kuna typing error?
  2. R

    Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

    Hu Huyo jamaa yako ni mpuuzi tu hata Kama kafa
  3. R

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu katika upambanaji naombeni ushauri, nataka kurudi kupambana na muhindi. Ni kampuni gani kutoa pesa haizungui yaani wapo instant kutoa pesa nyingi hata 5M kwa m pesa tigo pesa etc... Nilikua natumia meridianbet yaani hata 5M unaivuta mpesa haraka tu ila isiwe usiku sana au asubuhi sana...
  4. R

    Dawa ya kikohozi kwa mtoto wa umri wa mwaka 1

    Mkuu jaribu kumpeleka kwa specialist wamcheki kama ana ukungu kifuani, Kuna watoto wanazaliwa na ukungu kifuani, dawa na operation wanayatoa na Haina complication sana akiwa mdogo Wangu alikutwa na tatizo Hilo baada ya kuhangaika sana
  5. R

    Hii alama inaashiria nini kwenye account ya heslb?

    Dogo kamaliza form six kafaulu wewe unamfanyia application na ku track process nzima Kwanini asifanye mwenyewe?
  6. R

    Jeans Kali kwa 17000

    Alafu omba mods waipeleke jukwaa la matangazo madogo dogo
  7. R

    Jeans Kali kwa 17000

    Unapatikana wapi? Unafanya delivery? Mfumo wa malipo ukoje? Bei inapungua kwa wholesale? Toeni taarifa kamili sio kila mtu anapenda kujaza contacts kwenye simu....
  8. R

    Maumivu wakati wa kukojoa

    Gono Hilo mkuu ila usijali hio no ajali kazini Nenda hospitali uchome sindano watakupa na vidonge antibiotics siku tano Au nunua dawa ya azuma vile 500 mg, meza vyote vitatu kwa pamoja, Kama ni vile 250mg meza vyote sita kwa pamoja, usimmeze ukiwa kazini maana lazima utaharisha itakuletea...
  9. R

    Gharama za mobile banking zinatisha, ni ujambazi kwelikweli

    Dah sijui tunaelekea wapi, hizi huduma zilipaswa kutupa unafuu wananchi kufanya miamala bila usumbufu lakini imekua ujambazi hasa hasa. Niliwahi kuhamisha laki mbili kutoka Benki kwenda mpesa nikakatwa 11,000/= hapo bado sijakutana na Makato ya mpesa, nikajikuta nakatwa karibu 16000/= kupata...
  10. R

    Ofisi za TPDC

    Dar es salaam, posta! Nilipiga field pale miaka ile hakika tpdc wanakula keki ya taifa
  11. R

    NMB mnakera sana

    Haiwezekani kuanzia Jana mtandao hamna, sio atm Wala wakala, mjiangalie sana kesho mi nawahama Siwezi kuteseka na pesa zangu,
  12. R

    Usajili Man Utd kulikoni?

    Unalalamika hata dirisha la usajili halijafunguliwa
  13. R

    Kuna haja gani ya kuendelea kuwa Na rafiki wa namna hii?

    Dah elimu yetu changamoto kweli, yaani msomi wa advance hata kujieleza hajui
Back
Top Bottom