Maumivu wakati wa kukojoa

Maumivu wakati wa kukojoa

Sababu

1. UTI.- ili neno linabeba maana nyingi yaani tatizo au itilafu kwenye njia ya mkojo kuanzia uume wenyewe mpka kwenye kibofu. yaan urinary tract infection. Kama umemeza dawa za UTi kwa siku 7 mpka 10 ujaona UNAFUU WOWOTE basi UNAWEZA ukawa na UTI SUGU ambayo dawa yake waga zenye nguvu zaidi kama vile za sindano au vidonge vynye nguvu zaidi kama vle Azuma na nk ( sipendi kutaja dawa usije ukaacha kwenda hopitali ulaenda knunua hospitali ni muhimu mm natoa 2 uelewa na kukusanua)


2. Gonorrhoea; naanza kwa kuuliza una mda gani toka ufanye tendo la ndoa?? Unatumiga condom? Una mpenzi zaidi ya 1 ?? Ukikojoa ucha wa rangi yoyote hau unaoa harufu?

Kwa sasa ni hayo UKIJIBU HAYO AFU TWENDE SAWA
Nikiangalia uume unatoa uchafu wenye rangi nyeupe..
Ni wiki moja tangu kushiriki tendo....
 
Nikiangalia uume unatoa uchafu wenye rangi nyeupe..
Ni wiki moja tangu kushiriki tendo....
Gono hilo mzee baba..wahi hospital chapu ukapate tiba..acha kabisa kula kavu kwa demu ambaye hujamcheki afya..mademu wa sikuhizi njaa ya pesa inawasumbua hivyo kila mwenye pesa anajipigia tu...wamekua takataka ya kila uchafu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nikiangalia uume unatoa uchafu wenye rangi nyeupe..
Ni wiki moja tangu kushiriki tendo....
Wahi mapem hospitalin kabla ugonjwa haujasmbaa. Ukiifika ww funguka uelezee dalili zote unavyo jisikia usifiche chochote. Huenda ikawa gonorrhoea au chlymidia au sexual transmitted infection zpo nyingi
 
Wahi mapem hospitalin kabla ugonjwa haujasmbaa. Ukiifika ww funguka uelezee dalili zote unavyo jisikia usifiche chochote. Huenda ikawa gonorrhoea au chlymidia au sexual transmitted infection zpo nyingi
ina shauriwa utibiwe wewe na mwenzi wako ili kuepusha kuambukizana tena au kutokupona
 
Habari za kazi.

Napata maumivu chini ya kichwa cha uume kwenye mshipa wakati nakojoa.
Pia uume unatoa uchafu wenye rangi nyeupe...

Naomba mwenye ushauri juu ya hilo.
Wahi Hospitali au Pharmacy yeyote ya karibu tafuta dawa inaitwa ornidazole (orno-500) ni tablets (vidonge) utapona haraka sana.
 
Gono Hilo mkuu ila usijali hio no ajali kazini

Nenda hospitali uchome sindano watakupa na vidonge antibiotics siku tano

Au nunua dawa ya azuma vile 500 mg, meza vyote vitatu kwa pamoja, Kama ni vile 250mg meza vyote sita kwa pamoja, usimmeze ukiwa kazini maana lazima utaharisha itakuletea usumbufu, tumbo litauma hio ni lazima

Ukitumia njia hio ya pili kesho unakua sawa kabisa, kila la kheri
 
Wahi Hospitali au Pharmacy yeyote ya karibu tafuta dawa inaitwa ornidazole (orno-500) ni tablets (vidonge) utapona haraka sana.
Boss mi naon kabla ya dawa ungemchukua malezo ya kutosha kusudi umpe dawa yenye nguvu zaidi. Azithromycin na cefixime au ceftriaxone stat zinamfaa kuendana na dalili ambazo anazo
 
Back
Top Bottom