Recent content by Rogart Ngaillo

  1. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Akili za mbogamboga zilipoishia!
  2. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa 'Hivi vina pesa utakuwa tajiri', jihadhari unaweza kuishi maisha yote ukisubiri mafanikio yasiyokuja

    "Mi narusha KINDEEGE🤪"....eti bado kinajifanya KINAPAA, Mweh!
  3. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania Thinking far: Kutangaza uwepo wa COVID-19 ni mkakati wa kutengeneza matukio?

    Mi nawaaza afu jibu sipati! Kuna kitu/kimtu kinatafutwa hapa!
  4. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa afya Babati tunahamishwa kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho

    Ngoja tuuze ma'gold' kwanza! Tutawalipa ndugu watumishi!
  5. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania Bwege ajiondoa ACT, atimkia CHADEMA

    Karibu KUNDINI
  6. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wanapigania mfumo kristo kwa kigezo cha utanganyika tuwakatae

    Si urudi tu kwenu maKUNDUchi😅😅Kwani kuna SHIDO??
  7. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania Ajali ya gari la polisi imetokea uwanja wa ndege Dar

    Oookey😎
  8. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi vijana kutumia simu na kompyuta kujisomea kuliko kutumia vitabu?

    Ni sahihi vilevile tuache kupanda daladala na tufuate nyayo za "wahenga" kutembea kwa miguuu.....Mbagala to Kimara!
  9. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jumuiya ya mabondia: Desemba 9 tutakuwa macho kuilinda nchi yetu dhidi ya maharamia na wapuuzi wachache

    Kama mnavyopigika daily kwa ulingo basi siku hiyo mtapigika uzuri tu...kumbukeni hakutakuwa na refa!
  10. Rogart Ngaillo

    JamiiForums Tanzania Pongezi Bodi ya Ithibati kwa Waandishi wa Habari kwa Mwanzo Mzuri, Cheti Kisitumike kama Fimbo Kuwachapia Wenye Vipaji, Uwezo na Uzoefu wasio na Cheti

    Kama wenye ITHIBATI ndio hawa tunaowasikiliza TBC na wengine waliobaki kwenye media nyingine!?, Basi ni mara kumi kuwasikiliza hao wasio na ITHIBATI walioondolewa!
Back
Top Bottom