acha kudanganya watu ndg,wenje mwenyewe alisema zitto alikataa kumfanyia kampeni alipomwalika eti kisa ana urafki na masha.km kitu hujui kaa kimya kuliko kuleta propaganda
hivi unataka kutuaminisha kuwa chadema hakuna haki?hivi kama ktb ya chadema ingekuwa inakandamiza haki,kina prf safari,baregu,marando wangekuwa cdm?na ninani aliwahi kulalamika kuwa katiba ya chadema inakandamiza haki?na je chama cha siasa ni chadema tu?kwa nin ukubali kukaa kwenye chama ambacho...
hivi watanzania wenzangu tumefikia hali hii??hivi udini utugawe hivi?mi naamini serikali yetu haina dini kama ambavyo pia vyama vyetu vya siasa havina.kiongozi anachaguliwa ktkn na kuwa ana sifa za kuongoza na si dini yake.
mimi huwa najiuliza sana hivi ccm inapoeneza propaganda kwamba chadema ni chama cha kikristo,huwa wanawapa ujumbe gani wakristo wengi tu ambao wapo ccm na tena ni viongozi?je wahame ccm wakajiunge na cdm ambayo ni chama cha dini yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.