Mkuu mke ni wako unamfaham vizuri tabia yake. Humu utapata ushaur wa tofauti sana kwa kuwa baadhi ya mikoa hawana desturi ya kumjali mwanamke wala kumdhamini. Sasa wewe endesha maisha yako ya ndoa kwa jinsi uonavyo ili mradi furaha na amani itawale ndani ya nyumba yako.
Sasa kama utamsafisha ili awe msafi mbona unapnga usafi. Usafi ndo kla kitu. Me mwanamke akvaa chupi nyeusi, nyekundu, brown nazchoma moto. Mtu nje msafi ndan sasa utadhani anaishi jangwani.
Kosa lako n kumgegeda ulpaswa uwe na msimamo. Huyo dawa yake ndogo tafuta no ya mume wake uzungumze nae na mkeo mweleze mpango wako. Weka mipango sawa mkutane na huyo bibi kizee halafu unaumulekeza mume wake aje ashuhudie tabia ya mkewe. Hapo itakuwa mwisho wa usumbufu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.