Kama unatumia simu yenye QWERTY keypad na km unafikiri vzr, si jambo la kushangaza kuandika cruti... Badaya ya criti....! Typing errors, ni kama vile ulivyoandika tutatakuelewa hapo juu!
Jadili mada ama mtiririko wa mawazo!
Kweli nyani haoni kundule!
Comment yako imeonesha kuwanuna upungufu mkubwa wa kufikiri crutically na uelewa! Sijuzungumzia chcht km ulivyocomment! Wewe ni PUNGUWANI MKUBWA na ni narrow minded!
Just knw kwamba si kila anae critique CDM na move zao ni mwana CCM au member wa chama chcht cha siasa...
Nina uhakika Mkuu wewe ni zaidi ya hovyo! Tena kiumbe asuyejutambua na kutambua mambo na ulimwengu! Si wana CCM au CDM wote ni hovyo, wapo walio makini sana...!
Simaanishi na sikusema kwa CCM ni mpango wa Mungu na katu sitathubutu juganya hivyo( kutokana na umakini wangu ktk kufikiri na kupima mambo)! Ninachopinga ni genge la wafitini, wajanja, na wataka vurugu kuitwa mpango wa Mungu!
Hv kumbe CDM ni mpango wa Mungu!! Mungu yupi huyo? Mnamfanyia masihara Mungu au ni uchache wa fikra, kuchambua mambo kwa umakini ama upofu wa macho na akili! Hebu acha hizo ww.... Mungu yupo Makini na kamwe CDM, genge la wajanja wenye maslahi MAALUM haliwezi kuwa mpango wa Mungu katu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.