Ney wa Barca
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 310
- 36
hivi walishaachaga kujipaka mafuta ya ng'ombe?
sory kama we ni mmasai au imekukera, ni watani wangu hao ndo mana nmeandika hvyo...... so kama we ni mmasai basi wanukia king'ombe ng'ombe joooh:bolt:We kimburukutu hebu inama uvunguni kwako halafu jinuse mbunye uone kama haitoi uvundo kama kijasho cha beberu...
Wakati mwingine haina haja ya kuweka posts za kishenzi kama huna cha kuandika...
Ndugu wana Jamiiforums
Kuna rafiki yangu kipenzi ana mpenzi wake wa kimasai, hawana muda mrefu sana katika mahusiano, sasa naona kama vile ana mpango mkubwa na huyo mpenzi wake, sasa anataka kujua tabia generally za mabinti wa kimasai na mila zao ili afanye maamuzi yake.
Please, mwenye taarifa na habari zaidi ya watu hawa karibuni sana.