Recent content by robinson10

  1. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    mungu WA MUZIKI TANZANIA, ALI SALEH KIBA, Wanaomchukia wanasikiliza muziki wake, wanaompenda wanalala na muziki wake
  2. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Nimeelewa ndugu yangu.
  3. R

    Nyimbo mbovu zinazofanywa zionekane nzuri na bora..

    Banghi utaacha lini?
  4. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Umeelewa nilichoandika? Au nia yako tubishane kama tuko kijiweni
  5. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Soma hii ndugu utaelew kila kitu, ukishaelewa naomba tuhame hii mada twende nyingine ambayo naomba mchangue wenyewe, swali ni lile lile , unataja kitu kimoja ambacho Unahisi diamond amemzidi Ali, na hapa utasaidiwa kujua ukweli ili ukweli ukuweke huru, tayari tumeshajua kua miaka ambayo diamond...
  6. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    2000- Multi Talented Award (CLOUDS FM)[1] 2001 -M-Nets Best Female Artist from Tanzania[2] 2002 - Tanzania Music Awards - Best Female Artist ("Machozi") 2002 - Tanzania Music Awards - Video of the Year ("Machozi") 2003 Channel O Video Music Awards -Best African East ("Machozi") 2003 - Tanzania...
  7. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Nimeandika hapo juu kila kitu ndugu,
  8. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Soma maelezo ndugu, yamejitosheleza, sina haja ya kuongopa, au nyimbo gani aliitoa ndani ya kipindi hicho? Tuzo za kimataifa ameshinda mbili ndani ana tuzo zaidi ya nne soma maelezo hayo juu yamejieleza kila kitu, nia yangu tuelewane sio kubishana, nadhani utakua unanielewa? Hayo maelezo...
  9. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Umegundua kama nakufundisha kitu? Somo langu no rahisi , usipende kubishana au usifuatishe watu ambao hawana facts, Back to the point 2010 ndio mwaka uliozaa uhasama na msanii belle9 huku msanii huyo akikosa hata tuzo moja, nikuulize ndugu yangu unaujua ule wimbo wa " sumu ya penzi...
  10. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Soma hayo maelezo hapo juu tayari nishatuma zamaaaani, ukijiskia nitajie zingine ndugu yangu
  11. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Mbona uko slow sana au ndo una google kwanza? Ina maana humjui msanii wako?
  12. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Ali Saleh Kiba (born November 26, 1986) is a Tanzanian recording artiste, songwriter, dancer, producer, actor and model. He is one of Africa’s biggest stars and his name is steadily becoming a household name internationally. So influential is Alikiba that the Tanzania’s president Jakaya Mrisho...
  13. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Asante kwa kuchungulia wikipedia, endelea
  14. R

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Jamani hawa twende nao taratibu tu wataelewa nimegundua kosa sio lao kosa ni la erick shigongo, mimi nataka tuwasaidie Hapa ni thread ya binadamu wanaofahamu nini wanashabikia, hawafuati upepo, kama wataishiwa bando jamani tuwape pia ili tu waujue ukweli kwa maana wako vifungoni na ukweli...
Back
Top Bottom