Recent content by Robert wa II

  1. Robert wa II

    Yajue majina ya Kinyakusya na maana zake

    Maana yake nisimamie kwa utetezi
  2. Robert wa II

    Yajue majina ya Kinyakusya na maana zake

    Baadhi ya majina ya kinyakyusa na maana yake Suma- Omba Mboka- Niokoe/nisaidie(Eeh Mungu) Lusekelo- Furaha Kiswigu- Mshangao Aliko- Alikuwepo(Neno/Mungu) Atupele- Ametupa(Mungu) Tupokigwe-Tumeokolewa/tumesaidiwa/tumekombolewa (Bwana Yesu) Atuganile- Anatupenda(Mungu) Lumuli- Nuru Lusako- Bahati...
  3. Robert wa II

    Unafanya nini mbwa wako kuwa mkali

    Watu tunasafiri kwa bus zaidi ya masaa 12-18 lakini hatujisaidii kwenye bus,tunafuata utaratibu, anyway tuweke utani pembeni-mimi nina mbwa mdogo wa miezi minne alikua fala sana kipindi namchukua kelele kulalamika hovyo mpaka kero kwa majirani, pia akawa anajisaidia hovyo bila utaratibu bandani...
  4. Robert wa II

    Mkazi wa DSM, jihadhari na mbuzi wa Magomeni, Kinondoni, Oysterbay Polisi, Msasani, Mikocheni hadi Kawe. Sio mbuzi wa kawaida ni vikaragosi vya mchawi

    Kuna mbuzi wa dizaini hiyo Tabora mjini, kali zaidi kuna mbuzi alikuepo Ukonga Dar sijui kama bado yupo, mbuzi anaenda kwa mama ntilie na kupora chapati mikononi mwa mteja halafu anakula...
  5. Robert wa II

    Tamasha la kizimkazi linadhaminiwa na nani? Na lina lengo Gani? Naona watu maarufu wamejaa kizimkazi

    Kweli nimeamini duniani wawili wawili sio tu katika kufanana sura, basi hata kufanana mawazo, nimekua nikiwaza mawazo hayahaya kuhusu Tamasha la Kizimkazi- Kwanini? Faida zake?Kwanini viongozi wengi wa serikali wapo huko? Vipi wasanii wetu? Kwanini Kizimkazi inataka kuwa kama Dhifa au Sherehe ya...
  6. Robert wa II

    Engineer Hersi Saidi ni nani haswa?

    Una kitu utafika mbali, majibu ya jamaa ndio maana watu wanefeli mitihani mashuleni...
  7. Robert wa II

    Alama ya herufi "M" kiganjani

    Mimi viganja vyangu vyote vina alama ya herufi M, kwenye swala akili na uwezo wa kupambanua mambo najikubali Mungu amenipa uwezo Mkubwa sana, huwa nawazoom Tu watu wanavyopata ugumu kuchanganua mambo tena wakati mwingine mambo mepesi kabisa, tukija kwenye swala la utajiri mmh! bado nasubiri...
Back
Top Bottom