Wakandarasi wote wanapenda kumaliza kazi zao kwa muda, ukiona mkandarasi hayupo site na alipatikana halali ujue ni pesa hajalipwa kwenye certificates zake.
Wachangiaji wenzangu , ningeomba mpate muda kuangalia sarafu ya Japan na ya Kenya.Pia mpate muda kuangalia chumi za hizo nchi mbili.Tena mrudi kuchangia maana mtapata wasaa mzuri kupata uelewa wa mwenendo wa sarafu na uchumi kwa ujumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.