Recent content by Robert Marco

  1. Robert Marco

    Kwanini Serikali haitunzi Wasomi iliowasomesha? Kwanini ninahangaika?

    Pole sana! Kwa exposure uliyoipata huko hukutakiwa kuongea kitu kama hiki ila yawezekana Kuna mapungufu mengine. Kuna vijana wanatamani wapate mfadhili kusoma degree tuu na iwatoe(na hawatarudi kwa sponsor kulalamika kuwa nimemaliza shule nipe kazi). And for most smart guys asingekuwa hapo...
  2. Robert Marco

    Miradi ya Ujenzi inayoendelea Chato inahitaji mjadala wa kitaifa

    Nadhani njaa ya 1980's yawezakuwa chanzo cha kudumaa kwa akili zetu (kuanzia wazazi wetu hadi sisi tuliokuwa watoto enzi hizo, yawezekana yale mahindi ya njano kutoka nje yalikuwa yamewekwa dawa ya (Upungufu wa akili).....haiwezekani Mtanzania unayejitambua, unasoma mada yenye hoja za msingi at...
  3. Robert Marco

    Sijawahi kutukanwa matusi haya toka nizaliwe, ila mzazi mwenzangu kaweza

    Po Pole sana Ndg, 'No longer at ease'.....kama ni mkeo kutoka kwa Mungu, Mungu ataskia kilio chako na atatenda, usife moyo, ww sio wa kwanza
  4. Robert Marco

    Barabara ya Njombe Makete sasa imekumbukwa

    Ni hatua nzuri, kwa kuanzia Bitumen standard sio mbaya, Nipongeze nia ya serkali kama ni ya kweli. Nitawapongeza zaidi pindi mradi utakapotekelezwa, Nimepita Barabara hizo Nov 2016 zina hali mbaya sana, na zinawagharimu sana wananchi hususani muda na pia wamiliki wa vyombo vya moto (Njombe -...
  5. Robert Marco

    Mtangazaji Paul James 'PJ' arejea Clouds FM

    Yawezekana ni ushamba wangu au umri, binafsi baadhi ya vipindi vingi vya Clouds FM sioni maudhui yake na faida chanya za kuijenga jamii yetu na kwa maendeleo ya taifa. Nadhani wangepewa nafasi ya kupromoti sanaa tuu, vingine waachie wengine
  6. Robert Marco

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Dr pole na majukumu ya kila siku ya kuitumikia jamii! Naomba msaada wako Dr... Kuna vinyama au niviite vipele vinaniota kichwani (upande wa kilia wa kichwa karibu na sikio la kulia) taratibu na huwa vinaongezeka taratibu sana, toka nimetambua ni kama miaka mitatu sasa(Hakuna maumizu nayopata...
  7. Robert Marco

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Bora niendelee kupanga, na ningejua ndivyo hiyo pesa ningeongeza mtaji kwa biashara yangu ningepata pesa zaidi ambazo zingenipa uhakika wa kilipa kodi, leo nimezika pesa chini, nabaki na hasira kama vile nilitumwa kumbe ni dhamira nzuri ila mipango mibovu
  8. Robert Marco

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Nilianza msingi Mbezi, January 2016 kwa saving zangu za 2015(I had 10M), (enzi za mjomba) hadi namaliza msingi na kumwaga jamvi 9.2M ikawa imekwenda, niliamua kuacha, pesa sina (enzi hizi za hapa kazi tu) na sijawah kufika site since Feb 2016
  9. Robert Marco

    MALEZI: Nilichokiona kwenye gari la shule la watoto wetu

    Eeeh Mungu wanusuru watoto na kizazi chetu kwa janga hili. Utandawazi ni mzuri sana ila una gharama zake kubwa, miongoni ni hizi, pia wazazi tunachangia coz kuna mambo mengine watoto hawajifunzi kwa TV bali kutoka kwetu(either kwa kusikia/kuona/kuambiwa) tujiheshimu na kuwaheshimu watoto. Sio...
  10. Robert Marco

    Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

    Hakuna namna tutalipa tuu, waliochukua pesa ndio walioshika mpini
  11. Robert Marco

    Sina uhakika na mimba hii kama ni ya mchepuko au mume

    hongera, Mimba ni ya Rafiki jion! Facts, naamini hujaoana na huyo bwana karibuni(i mean kukutana) na huo sio mzunguko wa kwanza kukutana na hubby, it means ulikuwa unakutana nae mara nyingi na hukubahatika kupata ujauzito, na rafiki hukuwah kumpa kipindi ukiwa danger zone, now alipata hiyo fursa...
  12. Robert Marco

    Dr. Tulia Akson - Mjumbe wa bodi ya bandari iliyovunjwa kwa ufisadi

    Hii ni bodi mpya ambayo aliiteua JK 29 october 2015, ikazinduliwa na dr Tizeba! Japo Prof aliendelea kuwa mwenyekiti sina hakika kama TULIA alikuwa mjumbe wa bodi iliyopita, kama No, ana miezi miwili kwenye bodi na sina hakika kama wameshakaa vikao vingap kwa muda huo
  13. Robert Marco

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Ngurivi3, Hongera i like your post
Back
Top Bottom