Naongezea mpaka sasa hivi nguvu ya ccm iko vijijini naomba kwa nguvu kubwa ihamie vjijini ili watu waelimishwe wajitambue maana wameshatishwa sana kuwa wakichagua upinzani kutakuwa na vita hivyo tukiweza kuwatoa hiyo hofu ukombozi U miknoni mwetu iwe kazi rahisi 2015 tukiweza huko ni kazi rahisi...
Changamoto gani wewe acheni kutuhadaa kwa ngonjera zenu ccm nina hasira na nyie huna hata aibu eti mnaangalia changamoto za wananchi itafahamika msitufanye mazezeta enzi zimepita someni alama za nyakati case study iwe huu uchaguzi serikali za mitaa@mwanadiwani
Jamani ivi kweli kuna watu km hawa Tz anamuingelea Ngeleja yupi huyu? Ila mu naona ameleta huu uzi ili aone watu wanasemaje na yawezakuwa ni ndugu wa ngeleja hivyo nimwambie tu aende akamwambie ndugu yake asijaribu hata kujisumbua,alikuwa waziri nishati na madini Kang'atuka kwa kashfa,esrow yumo...
Hakuna kiongozi wa kuifanya Tz ikaheshimika labda kuanzia 2015 nae anatakiwa awe na mcmamo hapana yake iwe hapana but km ni hapana huku anatabasamu tutaendelea mke wa waume zaidi ya mmoja mbsya zaidi unaginganisha wanaume ambao hawapendani ni shida Mungu aingilie kati kwa kutipatia kiongozi...
Inakera sana haya ma-ccm shida,eti Chenge kamati ya uandishi wa katiba badala ya kuandika katiba ya wananchi kaandika katiba ya kujilinda ma-ccm 2015 ndo suluhu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.