Ambacho huwa kinanishangaza mimi ni huwa wanasema mahari ni zawadi kwa wazazi wa binti. Je, mtoto wa kiume yeye hana wazazi wa kupewa zawadi au yeye hajazaliwa kama walivyozaliwa mabinti?
Kutojua majukumu yake na mipaka yake ni hatari sana,kuna siku atakuja kusema kuwa watu wake wote wa manispaa yake wawe wanaripoti kwake asubuhi ndo waendelee na yao.
maneno kuntu dada, imagine wengine hata kupiga simu kwa mama zao kuwajulia hali kwa siku ni kazi ila mchepuko kila dakika simu au sms kutaka kujua anafanya nini ila si mama yake aliyemfikisha hapo alipo
sometimes tuwe tunaangalia hata coments tu za mtu zitakutambulisha kuwa ni me au ke hata kama humu ndani watu wanatumia id na avatar feki, unatakiwa umtake radhi nasdaz aisee kwa hili.
Habari wana MMU
NI jion hii nikiwa narudi kutoka kazini ndani ya daladala nimekaa na msichana ambaye anaonekana kujijibishana na mtu kwenye simu yake ambaye nilihisi ni mume wake au boyfriend wake kuwa "Play your roles as a man" uone kama utaomba kuheshimiwa badala yake heshima itakuja...
Jamani mkubali msikubali hakuna njia hata moja ambayo haiumizi, labda tu iwe hamkupendana kwa dhati. yote katika yote kukatisha mahisiano kunaumiza sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.