Recent content by ROBEPANA

  1. R

    Mahari na nafasi yake katika ndoa... Je, utamaduni huu umepitwa na wakati?

    Ambacho huwa kinanishangaza mimi ni huwa wanasema mahari ni zawadi kwa wazazi wa binti. Je, mtoto wa kiume yeye hana wazazi wa kupewa zawadi au yeye hajazaliwa kama walivyozaliwa mabinti?
  2. R

    Kanitumia picha zake, nitafungwa na sheria mpya?

    aisee....! kazi kweli kweli.......! kilichokuchanganya ni kwamba hizo picha km atakuwa anatumia na wengine au sheria juu ya picha hizo...!
  3. R

    Makonda achana na gwajima, shughulika na yanayokuhusu.!

    Kutojua majukumu yake na mipaka yake ni hatari sana,kuna siku atakuja kusema kuwa watu wake wote wa manispaa yake wawe wanaripoti kwake asubuhi ndo waendelee na yao.
  4. R

    Somo kwa akina dada wa kileo

    mwasilishaji kama anasukumwa na kitu fulan hivi kilichomsibu, pole maana si lazima utuambie.
  5. R

    Kwa wanaume/kina baba - wanawake someni mkawashauri wenzi wenu

    maneno kuntu dada, imagine wengine hata kupiga simu kwa mama zao kuwajulia hali kwa siku ni kazi ila mchepuko kila dakika simu au sms kutaka kujua anafanya nini ila si mama yake aliyemfikisha hapo alipo
  6. R

    Jana nilimwota mwana JF wakati nalala

    sometimes tuwe tunaangalia hata coments tu za mtu zitakutambulisha kuwa ni me au ke hata kama humu ndani watu wanatumia id na avatar feki, unatakiwa umtake radhi nasdaz aisee kwa hili.
  7. R

    Huyo sio size yako, Itakupwelepweta bureee! Kuku wa Kizungu Mchinjaji hana kazi, yamcost

    KikulachoChako Aisee huwa nafurahishwa na coments zako siku zote huwa zimejaa busara ya hali ya juu, hongera
  8. R

    Play your roles as a man uone kama utaomba kuheshimiwa

    Hapo sasa itategemea mtu na mtu.
  9. R

    Play your roles as a man uone kama utaomba kuheshimiwa

    Hahahahah !ila kuna kaukweli kwenye haya maneno.
  10. R

    Play your roles as a man uone kama utaomba kuheshimiwa

    Kwa mantiki hiyo haya maneno yana ukweli wake.
  11. R

    Play your roles as a man uone kama utaomba kuheshimiwa

    Nimeendelea kuuliza kwa sababu sikupata jibu mwenyewe naomba kusaidiwa na pia inaweza kuwa somo kwa wengine
  12. R

    Play your roles as a man uone kama utaomba kuheshimiwa

    Habari wana MMU NI jion hii nikiwa narudi kutoka kazini ndani ya daladala nimekaa na msichana ambaye anaonekana kujijibishana na mtu kwenye simu yake ambaye nilihisi ni mume wake au boyfriend wake kuwa "Play your roles as a man" uone kama utaomba kuheshimiwa badala yake heshima itakuja...
  13. R

    Tafiti: Wanawake wenye makalio [hips] nene huzaa watoto wenye akili sana

    sina tako nina kalio mkuu, kwa hiyo kukaa nakaa kama kawaida
  14. R

    Njia rahisi ya kukatisha mahusiano

    Jamani mkubali msikubali hakuna njia hata moja ambayo haiumizi, labda tu iwe hamkupendana kwa dhati. yote katika yote kukatisha mahisiano kunaumiza sana.
Back
Top Bottom